Katika maisha Mungu ana kanuni ya kukupa yule unaefanana nae, hata kama unafanya mambo kwa Siri kiasi gani jua kabisa ulienae unafanana nae.
Kama wewe ulikuwa mzinzi fahamu kuwa upo na mzinzi
Kama ulikuwa mlevi fahamu kuwa upo na mlevi ila anakulia tyming
Kama ulikuwa mchamungu na mtenda mema basi tambua upo na mtu mwema.
Huwezi kuwa muharibifu alafu ukapata kitu Cha Thamani hapana..
Kama unataka mtu Sahihi basi wewe Anza kuwa Sahihi principles za Mungu haziongopi.
Kama wewe ulikuwa mzinzi fahamu kuwa upo na mzinzi
Kama ulikuwa mlevi fahamu kuwa upo na mlevi ila anakulia tyming
Kama ulikuwa mchamungu na mtenda mema basi tambua upo na mtu mwema.
Huwezi kuwa muharibifu alafu ukapata kitu Cha Thamani hapana..
Kama unataka mtu Sahihi basi wewe Anza kuwa Sahihi principles za Mungu haziongopi.