Hii hari ilishakupata..?

holy holm

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
4,793
Reaction score
9,101
Yaani unatafuta kitu mpk unataka kulia unakuta kila unae muuliza eti ajui

Yaani kero tupu ukute kwa muda huo ndo kina umuhimu
Nilishatafuta Cheti cha form four nilkua nataka nikakitoe kopi kwa ajiri ya Veta aisee nilitafuta kama lisaa hivi kumbe nilikua nmekishika mkononi
Nilitaka kukichana nilivyojua kumbe nilikua nacho muda wote huo...

Je wewe pia ulishakutana na hii kadhia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kamba za viatu,aisee nilitafuta zaidi ya nusu saa nikapata bwana,,hii kuangalia kumbe ipo kamba moja,,,
Nikaanza kuitafuta nyingine,kumbe mtoto kaifunga kwenye toi la gari yake semitrailer anaendesha huko nje,,,dah,,,,
 
Nikiwa class 10.... Niliwahi kufungua zip ili nichululu, ikawa haifunguki. Basi nilipo amua kuachia kojo, nikagundua kumbe nilikua naota, hiyo ni baada ya kusikia nimelalia maji yalio mwagika.
Wacha niimbiwe, kikojozi...[emoji445] [emoji445]
Chalia...[emoji444] [emoji444]
Kundumbwe ndumbwe...[emoji442] [emoji442]
Chalia...... [emoji449] [emoji449]
Ilikua noma sana haki....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…