Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
isn't he ?ππHahaha! π Una mambo Jane, ilikuwa ni Shekedishekedi sasa leo ni Raila.
Hahaa! π
Zain Verjee ni public figure, famous sana Kenya. Kwasababu ni mwanahabari mkenya ambaye alifanikiwa kujenga jina CNN, kama tu Jeff Koinange. Kama wakenya sio waelewa sijui watz nao tutawaitaje.Wachache sana wanaoelewa hilo. Wakenya ni mapoyoyo kweli kweli usione tai zile na makoti ya mtumba ukadhani ni waelewa.
Mapunguani.Zain Verjee ni public figure, famous sana Kenya. Kwasababu ni mwanahabari mkenya ambaye alifanikiwa kujenga jina CNN, kama tu Jeff Koinange. Kama wakenya sio waelewa sijui watz tutawaitaje.
Haya basi, punguani FaizaFoxy.Mapunguani.
Mie siyo Mtanzania.Haya basi, punguani FaizaFoxy.
Wewe ni msomali?ndio maana huwa unawatetea magaidiMie siyo Mtanzania.
Eti ni waariyaah, mwenye nywele nguuumuuu na bonge la pua kutoka Malakal, S.Sudan. πWewe ni msomali?ndio maana huwa unawatetea magaidi
Hapo sawa.Uhuru ana shida nyingi Sana, kila Wizara ina fyonza hela, kiangazi na njaa kinazidi kule north Kenya ambapo mvua haijanyesha tangu mwanzo wa mwaka Jana, ufisadi kila mahali, alshabaab nao hawalali.... Kila mtu anamlaumu Kwa shida zinazo a hata kama si makosa yake... Kama yeye ni binadamu mwenye roho Safi lazima awe halali vizuri .... Kwahivyo mukimuona ana hug rafiki yake hivyo msiulize maswali mengi .... Sometimes you just need a really deep theraputic hug that goes to your soul ... Or else you gonna loose your shit cause the world don't make sense
HahahaHapo sawa.
Kwa hiyo braza nakuunga mkono, ukiona shida kwa nyumba yako usijali nenda kwa jirani yako mdada halafu m-hug kiroho safi, naamini Mke wako atapata faraja, and thank me later!
Sent using Jamii Forums mobile app
wanasema anaitwa Uhunye πππUhuru ana shida nyingi Sana, kila Wizara ina fyonza hela, kiangazi na njaa kinazidi kule north Kenya ambapo mvua haijanyesha tangu mwanzo wa mwaka Jana, ufisadi kila mahali, alshabaab nao hawalali.... Kila mtu anamlaumu Kwa shida zinazo a hata kama si makosa yake... Kama yeye ni binadamu mwenye roho Safi lazima awe halali vizuri .... Kwahivyo mukimuona ana hug rafiki yake hivyo msiulize maswali mengi .... Sometimes you just need a really deep theraputic hug that goes to your soul ... Or else you gonna loose your shit cause the world don't make sense
Now I understand what madam FaizaFoxy was insinuating.That UK and this lady had a chemistry together long before she joined CNN.She's right.mchepuko wa UhuruuuEti ni waariyaah, mwenye nywele nguuumuuu na bonge la pua kutoka Malakal, S.Sudan. π