Unapigwa na risiti unapewa. Ishu ni kuwa makini kuhakikisha mashine inaanza kuhesabu 00Lita 10 unatembea Kim 20 gari inazima???
Hata lori hayo mafuta yasingeisha maana hata ikiwa ni 3km per lita bado ingeenda 30kms....
TUWE NA UTAMADUNI WA KUPEWA RISITI ....
Haha wa pikipiki na bajaji hawaibiwi kamwe, kwanza mafuta wanayoweka ni yakunusa pia macho direct kwenye price bar hahahaNawapenda wa Bajaji wanashuka kabisa kuangalia
Wenye magari wanapandisha vioo wasipaliwe na harufu ya Diesel na petrol
Haha wa pikipiki na bajaji hawaibiwi kamwe, kwanza mafuta wanayoweka ni yakunusa pia macho direct kwenye amount bar hahahaNawapenda wa Bajaji wanashuka kabisa kuangalia
Wenye magari wanapandisha vioo wasipaliwe na harufu ya Diesel na petrol
Je mtengenezaji wa tairi alishauri upepo ujazwe wa kiasi hicho ulichojaza !?Upepo tairi za nyuma 40 tairi za mbele 35
Gari yako ina shida. Kama upo dar nicheck 0621221606.Wakuu ninatumia premio f , cc ndogo 1490, kwa sifa nilizowah kusikia kuhusu gari hii upande wa matumizi ya mafuta ni mdogo kama vile ist, ila kinachonishangaza nimeweke lita 10 ( mafuta ya elf 30,000) ile Taa nyekundu kwenye Dash board inawaka mda wote, mpaka gari ikanizimikia na nimetumia mafauta hayo kwa kutembea takriban KM 20 Tu. Shida nini hapo haswa mbona sion ile sifa ya kuwa na low fuel consuption. Nawasilisha naiman ya kupata majibu mazuri kwenu.
Rudia test yako.Hii gar ililetwa toka mkoa mwingine, ndo mara ya kwanza kuitumia.
Hahahaha 😂🤣🤣Nawapenda wa Bajaji wanashuka kabisa kuangalia
Wenye magari wanapandisha vioo wasipaliwe na harufu ya Diesel na petrol
We utakuwa umeemda sheli ile ya Sinza kijiwen [emoji23][emoji23][emoji23] wasenge wale wanaibia watu sana mafuta ya 30 wanakuwekea elf 3
Kwa mafuta hayo alipaswa kwenda walau kilometa 150Mafuta lita 10 kwa Premio unafika Dar to Bagamoyo na kurudi.
We umepigwa sheli.
Usiende sheli za wajanja wajanja.
Kenyewe na premio yake kamekaa kwenye gari kanafungua mfuniko anasubiri awekewe mafuta badala ashuke kama watu wa bajajKama gari ni Nzima umeibiwa!
Umewekewa mafuta ya shs 3,000 badala ya mafuta ya 30,000
Kwa hiyo gari yako, huo umbali ni mafuta ya shs 3000 tena kama injini iko vizuri haingekausha
Tafuta tena shs 30,000 nenda kituo cha mafuta, na angalia pale kabla ya kuweka ionekane 00.00 na aweke mafuta hadi iandika 30,000 utuletee mrejesho
Hata angegembelea rimu haiwezi kula mafuta hivoVipi kuhusu upepo wa tairi ulikua ngap??? Maana factor zipo nyingi sana member
Kwenye wese taja lita usitaje kiasi ulichonunuliaNatumia Premio F ya 2010,
nikiweka wese la laki watu wa sheli wananisahau kabisa, na ac ni full time!
Pole sana...vijana wa hovyo sana haoMREJESHO!, Baada ya kupata mawazo mengi na uzoefu wenu! Nimeshuhudia kuwa lita 10 kwa premio f , zimeweza kutembea KM 138. Hakika tuwe makini tunapowekewa mafuta sheli.
Kwa hesabu rahis nimetumia lita 8.65 za petrol kwa Umbali wa KM 138, Kwa mantiki hiyo Gari inauwezi wa kutembea KM 16 Per Litre.