Hii ilikuwa Harare Zimbabwe huyu Graduate alikuwa ana present hisia zake

Hii ilikuwa Harare Zimbabwe huyu Graduate alikuwa ana present hisia zake

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Imepita miaka kadhaa tangu Graduate huyu kule Zimbabwe aamue kuandamana kupeleka ujumbe kwa Serikali yao kuhusu Ajiri.

Jamaa alikuwa ni machinga kweli ila aliamua kuvaa Joho kabisa.

Hii picha ililetaga mijadala mikari sana Ulimwenguni kote na kila mtu alikuwa na Maoni yake.
8dc23864635b651c93256883a857b4a6.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naamini yuko sahihi maana watu tuna dharau sana kwani tukimuona Mmachinga basi hana Elimu au hana Elimu ya Kutosha.

Pia ni kuwakumbusha wasomi kuwa kambi popote mradi mkono wende kinywani na uwe na malengo.

Kazi ni kazi mradi iwe halali na uwe unajua unataka nini. Ni strategic leader huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najiuliza kama vyuo vyote bongo wangekua wanakupa joho lote lote, ulimwengu sijui ndio ungejionea mapicha gani kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very touching

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
ninahisi ukivaa joho hapa bongo unaweza kujikuta kizimbani kwa kesi ya uchochezi
 
Back
Top Bottom