Hii ilikuwa Harare Zimbabwe huyu Graduate alikuwa ana present hisia zake

Naamini yuko sahihi maana watu tuna dharau sana kwani tukimuona Mmachinga basi hana Elimu au hana Elimu ya Kutosha.

Pia ni kuwakumbusha wasomi kuwa kambi popote mradi mkono wende kinywani na uwe na malengo.

Kazi ni kazi mradi iwe halali na uwe unajua unataka nini. Ni strategic leader huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najiuliza kama vyuo vyote bongo wangekua wanakupa joho lote lote, ulimwengu sijui ndio ungejionea mapicha gani kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very touching

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
ninahisi ukivaa joho hapa bongo unaweza kujikuta kizimbani kwa kesi ya uchochezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…