Hii Imekaa vipi?

Hii Imekaa vipi?

Lengeri

Senior Member
Joined
Jul 3, 2009
Posts
180
Reaction score
17
Ni mapema ya asubuhi ya ijumaa unawahi mzigoni njiani unakutana na mtoto wa kike mzuri amejaajaa anatembea kwa pozi kuelekea kituo cha daladala, unaona isiwe nongwa unaamua kumpa lifti, hajivungi anaingia garini nawe unang'oa mchuma. katika maongezi unagundua yupo customer care kwenye kampuni moja ya simu hapa mjini. unaomba date jioni bila matata unakubaliwa. Jioni unachomoka mzigoni unampitia mtoto huyo kiwanja flani mnapata dinner ya kiaina, stori na bia mbili tatu, anaomba ofa ya Mzalendo Pub kwa jide huna haraka unampleka mnasakata rumbha hadi mida flani anadai amechoka unachomoka nae hadi nyumba ya wageni unapiga mzigo hadi asubuhi, kumbuka hapo hujamtongoza hii imekaaje wadau!!!!!???
 
hahahahaha!
so far ni CUSTOMER CARE.....!
i expected the same
 
Hivi kuna haja ya kuuliza imekaaje? Mtu yeyote mwenye akili timamu anajua hii imekaaje!
 
Imekaa kimalayamalaya, huenda ni binti wa biashara we una ng'ang'ania ni customer care wa kampuni fulani ya simu hahaha....
 
Pole kwa kuibuka na ngoma, usisahau kuandika wosia kwa familia yako..
 
Mkuu wew Vp, ishu umeitengeneza ww then unauliza ati imekaaje ! Nadhani vile ulivyo mkubalia kwa yote, naye akaona ni vema na haki akutunuku kwa ukarimu wako. Angechomoa ungetuambia kuwa amekuchuna, mind " ..kumnyima ntu penye kitu ninacho naona sambi sana..."
 
Pole sana....! Wote wawili ni wale tunaita 'samaki hapishi chambo'
 
Ni mapema ya asubuhi ya ijumaa unawahi mzigoni njiani unakutana na mtoto wa kike mzuri amejaajaa anatembea kwa pozi kuelekea kituo cha daladala, unaona isiwe nongwa unaamua kumpa lifti, hajivungi anaingia garini nawe unang'oa mchuma. katika maongezi unagundua yupo customer care kwenye kampuni moja ya simu hapa mjini. unaomba date jioni bila matata unakubaliwa. Jioni unachomoka mzigoni unampitia mtoto huyo kiwanja flani mnapata dinner ya kiaina, stori na bia mbili tatu, anaomba ofa ya Mzalendo Pub kwa jide huna haraka unampleka mnasakata rumbha hadi mida flani anadai amechoka unachomoka nae hadi nyumba ya wageni unapiga mzigo hadi asubuhi, kumbuka hapo hujamtongoza hii imekaaje wadau!!!!!???
How old are you????!!!!!!!!! We kutongoza unadhani ni kufanya kitu gani?????????
 
DDUUH naona mli practice Tangazo la vunja ukimya, Zali la mentali hilo
 
Ni mapema ya asubuhi ya ijumaa unawahi mzigoni njiani unakutana na mtoto wa kike mzuri amejaajaa anatembea kwa pozi kuelekea kituo cha daladala, unaona isiwe nongwa unaamua kumpa lifti, hajivungi anaingia garini nawe unang'oa mchuma. katika maongezi unagundua yupo customer care kwenye kampuni moja ya simu hapa mjini. unaomba date jioni bila matata unakubaliwa. Jioni unachomoka mzigoni unampitia mtoto huyo kiwanja flani mnapata dinner ya kiaina, stori na bia mbili tatu, anaomba ofa ya Mzalendo Pub kwa jide huna haraka unampleka mnasakata rumbha hadi mida flani anadai amechoka unachomoka nae hadi nyumba ya wageni unapiga mzigo hadi asubuhi, kumbuka hapo hujamtongoza hii imekaaje wadau!!!!!???

We ulitongozwa?! Hamjatulia wote..Tena mafagio ya jiji!!!
 
Ni mapema ya asubuhi ya ijumaa unawahi mzigoni njiani unakutana na mtoto wa kike mzuri amejaajaa anatembea kwa pozi kuelekea kituo cha daladala, unaona isiwe nongwa unaamua kumpa lifti, hajivungi anaingia garini nawe unang'oa mchuma. katika maongezi unagundua yupo customer care kwenye kampuni moja ya simu hapa mjini. unaomba date jioni bila matata unakubaliwa. Jioni unachomoka mzigoni unampitia mtoto huyo kiwanja flani mnapata dinner ya kiaina, stori na bia mbili tatu, anaomba ofa ya Mzalendo Pub kwa jide huna haraka unampleka mnasakata rumbha hadi mida flani anadai amechoka unachomoka nae hadi nyumba ya wageni unapiga mzigo hadi asubuhi, kumbuka hapo hujamtongoza hii imekaaje wadau!!!!!???




jamani si ni CUSTOMER CARE so amewajibika
 
Aziniye na mwanamke hana akili kabisa, anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake
 
kaka hapo umekutana na changu aliye katika kivuli cha kampuni ya simu na amekupa mbunye baada ya kughalamia hizo out na kuna kitu hujaeleza ulimpa posho kiasi gani (kifulia chupi) mwisho wa siku
 
...Hii Imekaa vipi????, kumbuka hapo hujamtongoza hii imekaaje wadau!!!!!???

..so far ni CUSTOMER CARE.....! i expected the same

Kafundishwa kujali wateja.

Hivi kuna haja ya kuuliza imekaaje? Mtu yeyote mwenye akili timamu anajua hii imekaaje!

Imekaa kimalayamalaya....

kaka hapo umekutana na changu

Swali sahihi ni WEWE uliye ainishieti na kufanya naye haya Umekaaje??...:A S angry:...:A S angry:
 
How old are you????!!!!!!!!! We kutongoza unadhani ni kufanya kitu gani?????????

heee leo umenipa raha, au anadhani kutongoza lazima i luv nyingiii....mbona mie ndo style ya kutongozwa niliyokuwa natongozwa nayo enzi hizo. kwanza mie mtu alikuwa akianza ohh nilikupendaga sana...ohhh unajua kimepanda kimeshuka hapo ndio mwisho wake, kaka ndio ustaarabu/utaratibu mzuri wa kutongoza kama hujui...kilichotofati ni hiyo mliyochomoka kirejareja hapo....vinginevyo hiyo date ndio mtongozo wenyewe.
 
Imekaa kimalayamalaya, huenda ni binti wa biashara we una ng'ang'ania ni customer care wa kampuni fulani ya simu hahaha....


kwani alipomshusha asubuhi na kumpitia jioni si aliiona ofisi yake au?!!!!!!!!
 
heee leo umenipa raha, au anadhani kutongoza lazima i luv nyingiii....mbona mie ndo style ya kutongozwa niliyokuwa natongozwa nayo enzi hizo. kwanza mie mtu alikuwa akianza ohh nilikupendaga sana...ohhh unajua kimepanda kimeshuka hapo ndio mwisho wake, kaka ndio ustaarabu/utaratibu mzuri wa kutongoza kama hujui...kilichotofati ni hiyo mliyochomoka kirejareja hapo....vinginevyo hiyo date ndio mtongozo wenyewe.
Kakague kule juu. Yaani jamaa amenikumbusha mambo ya shule za msingi na sekondari kaaaaaaaazi kwelikweli.
 
Back
Top Bottom