chichiboy1
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 1,371
- 1,856
Emancipate yourself from mentally slavery..Mkuu jifunze kwa wazungu..
Wale jamaa awapendi vitu under quality
Simu tajwa hapo juu zina vingi vya kujifunza kutoka kwa Simu za mzungu..
Na kwa kuanzia tu hizo simu tajwa hazitumiki huko zinakotengezwa.
Just imagine mtu anapika vitumbua af yeye mwenyew hatak watoto wake wale ila anawauzia wengine..
kabisaMaisha nyuma ya keyboard, unakuta hii comment imeandikwa na huyu
View attachment 1969714
tatizo umekaririTofauti ipo hizo simu ulizotaja zinapata sana moto, baada ya muda fulan huwa zinasumbua network na pili Zina great effect kwenye Radiation
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
mimi natumia infinix huu mwaka wa 6 ila huo ujinga aliosema hapo juu sijawahi kuuonaNatumia Infinix , nafanya graphics mwenyewe kila siku kwenye simu yangu (kwaajili ya biashara) hiyo canva , adobe etc zipo
Mna ujinga mwingi
Kama nlinunua infinix hot 10,eti ina goma hata ku comment you tube,inajibonyenza yenyewe,nikaigawilia mbalikabisa
eti simu ya tecno mtu anasema ni uchafu
Tecno
Itel
Infinix
Ni upuuzi kama upuuzi mwingine ni sawa na
Div. IV point 28
Div. IV point 32
Div. IV point 34
Ni kuzidiana katika kufeli tu
Mimi sijawahi tumia hizo takataka so called tecno.kabisa
eti simu ya tecno mtu anasema ni uchafu
Hayo mambo ni makubwa kwakotatizo umekariri
takataka hiyomimi natumia infinix huu mwaka wa 6 ila huo ujinga aliosema hapo juu sijawahi kuuona
tatizo wanajikweza sana au wamekariri tu
pambaneniMvaa kiwinda kapata kaniki basi wote tunaonekana malofa sawa ndugu. Ila mawasiliano unayo pata wewe na sie tunayapata tena kwa wakati mmoja.
Alafu unakuta mtu anaiponda Tecno phantom X na yeye anatumia Galaxy S 3[emoji23][emoji23]Div four anasoma mpaka anapata Phd.
Endeleeni kukazana kudiss simu zetu pendwa wakati sisi tukiendelea kuenjoy digital life.
Ndo wale wale washamba wanaozungumziwa hapo juuTecno
Itel
Infinix
Ni upuuzi kama upuuzi mwingine ni sawa na
Div. IV point 28
Div. IV point 32
Div. IV point 34
Ni kuzidiana katika kufeli tu
mimi natumia infinix huu mwaka wa 6 ila huo ujinga aliosema hapo juu sijawahi kuuona
tatizo wanajikweza sana au wamekariri tu
On ulivyo pimbi sasa.Halafu unakuta jinga kama hili linakaa kwa shemeji.
CBE au St........?1. Nina 4 ya 28.
2. Diploma ya Uhasibu ( Sikuwahi kufeli hata somo moja, nilimaliza na GPA 4.5)
3. Bachelor Degree in Logistic and Transport Management. ( Sikuwahi kufeli hata somo moja, nilimaliza na GPA 4.1)
4. Mtuache na 4 zetu.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
[emoji15][emoji15][emoji15]C 3,D 1 na F 3. Hapo ukipiga hesabu ni four ya 28. Umenipata hapo?