Jr. Gong Mira
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 1,281
- 1,300
Habari wana JF .
Kuna hii tabia ya akina wadada ambao akitaka kuja kwako kama mpo mkoa tofauti lazima atadai nauli ya kurudia mkoani kwake.
Hvi najiuliza alipokuja kwani alijua anakaa maisha au vipi.
Naomba kujua hii inasababishwa na nini!!???
Kuna hii tabia ya akina wadada ambao akitaka kuja kwako kama mpo mkoa tofauti lazima atadai nauli ya kurudia mkoani kwake.
Hvi najiuliza alipokuja kwani alijua anakaa maisha au vipi.
Naomba kujua hii inasababishwa na nini!!???