sababu za kutotaka ni zipi?
Dah!huwezi kusemea nafsi ya mtu,mi nahis ndo nimekuwa wa kwanza kuandika hyo barua
We kama huna mzuka kausha tu, zen kabla ya 5 oct rpot kambn
why EMS?andika bhana, mwenzio ndo naandika now! ntawatumia kwa EMS
Usifanye lolote kaa nyumbani tu
andika bhana, mwenzio ndo naandika now! ntawatumia kwa EMS[/QUnipostie anwani yao tafadhari ndugu
Usifanye lolote kaa nyumbani tu[/QU jamaa yangu kwa pumba hujambo!!
andika bhana, mwenzio ndo naandika now! ntawatumia kwa EMS[/QUnipostie anwani yao tafadhari ndugu
Mzoee tu huyu jamaa,ndivyo alivyo...!!
Hana fundamental consensus yoyote,kazi yake kubwabwaja tu...!!
Yani linaboa...
Hata mimi sioni haja ya kutumia EMS
Jamani mimi nimechaguliwa awamu ya 3 jkt lakini sina kabisa mzuka wa kuandika hizo barua za kuomba kuahirisha kwenda jkt nyie kwenu imekaaje wakuu?kama mnanishauri niandike naombeni pia mnpostie anwani yao hawa jamaa.