The seer JF-Expert Member Joined Jul 31, 2015 Posts 407 Reaction score 690 Jan 27, 2017 #2 sasa hivi wanatafuta pesa kwa nguvu sana.hii haina utofauti na utapeli au ujambaza
wamisako JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 917 Reaction score 871 Jan 27, 2017 Thread starter #3 The seer said: sasa hivi wanatafuta pesa kwa nguvu sana.hii haina utofauti na utapeli au ujambaza Click to expand... Kwa hali hii tunakoelekea n kubaya bas turs kwenye
The seer said: sasa hivi wanatafuta pesa kwa nguvu sana.hii haina utofauti na utapeli au ujambaza Click to expand... Kwa hali hii tunakoelekea n kubaya bas turs kwenye
D Dodoma moja JF-Expert Member Joined Jan 3, 2014 Posts 307 Reaction score 182 Jan 27, 2017 #4 Dah nilijua ni mimi tu peke yangu kumbe tupo wengi na nilitaka kesho nikaulize ili kujua hiyo pesa ni ya nini na unamkataje mtu bila kumpa taarifa? Huo ni kama wizi
Dah nilijua ni mimi tu peke yangu kumbe tupo wengi na nilitaka kesho nikaulize ili kujua hiyo pesa ni ya nini na unamkataje mtu bila kumpa taarifa? Huo ni kama wizi
darcity JF-Expert Member Joined Jul 20, 2009 Posts 9,101 Reaction score 18,055 Jan 28, 2017 #6 Wanaiiga serikali
MKATA KIU JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 3,410 Reaction score 8,184 Jan 28, 2017 #7 bank kubwa ni wezi wakubwa... mi nimeshawahama zamani... mwendo wa bank mpya tu..now wakizingua nawahama
bank kubwa ni wezi wakubwa... mi nimeshawahama zamani... mwendo wa bank mpya tu..now wakizingua nawahama