Hii imekaaje naomba ufafanuzi kisheria wana jamii

faarhymes

Senior Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
141
Reaction score
25
Mimi ni fundi magari, na kuna mteja wangu aliniletea kazi miaka mitatu iliyopita na kunitelekezea gereji, cha ajabu alipokuja gereji na nikampa bili ya matengenezo pamoja na ulinZi kwa kipindi chote, cha kushangaza amepeleka polisi na kuniweka lockup cku tatu na kufungua kesi maakamani ya kuwa gari lake imeibiwa spea. Na wakati nipo ndani alitumia muda huo kuliondoa gar gereji, now kesi hipo maakamani lkn gar lake anal0. Naomba msaada wenu wana jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ushapigwa mkuu,ulitakiwa utangulie wewe kumripoti polisi kwa kumchukulia RB
 
Kazi yako unaiendesha kienyeji Sana mkuu!

Tafuta wakili akusaidie Kama unahitaj msaada.

Humu hata ukipewa ushauri bado hautakusaidia Kwan hata maelezo yako hayajakamilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…