bwana sikiliza nikwambie wewe leo hii kamchukue paka then umfundishe kukojolea chooni uone kama hatafanya,,, l-awal,,,,
lapili,, kiupande wangu nionavyo mimi hii thread imewekwa hapa kudhalilisha uislam......na hao waliondika hii habari huko bbc sijui wapi pia ni hayo hayo,,, sasa basi la umuhimu la kujadiliwa hapa hakuna kila mtu atazikwa na shimo lake...hakuna atakaezikwa na asra wala sara hapa.... kama wao wameamuwa kumuas allah ni wao cha muhimu ni kutazama amal yako wewe unayokwenda nayo kesho akhera,,,, na ukumbuke tena kwamba ikaribiapo mwisho wa dunia hakuna dini itakayo tawala wala kusikika kama islams...remind dat,,,