Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
ππππ When is soon? Kama hamtaipiku Kenya na hii lockdown then msahau kabisa...tuendelee kuwakamata wapinzani wa Chadema.Corruption is a big problem when it comes to Kenya.... without it Kenya was sappose to rank high but soon TZ is taking over
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni nini kilikufanya uweke picha ya Magu?ππππ When is soon? Kama hamtaipiku Kenya na hii lockdown then msahau kabisa...tuendelee kuwakamata wapinzani wa Chadema.
Nitakuambia muda ukifika.Hivi ni nini kilikufanya uweke picha ya Magu?
Lockdown duniani ndio kwanza inamiezi mi3. Subiria report ya mwisho wa mwaka huu.ππππ When is soon? Kama hamtaipiku Kenya na hii lockdown then msahau kabisa...tuendelee kuwakamata wapinzani wa Chadema.
unatetema na report hazijatoka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] When is soon? Kama hamtaipiku Kenya na hii lockdown then msahau kabisa...tuendelee kuwakamata wapinzani wa Chadema.
Hii ng'ombe kichwa avocado inacompare US FDI in Kenya na total FDI in Tanzania? Leta US FDI in Tanzania ndio tufanye comparison.