Hii imekaaje wapendwa


Eh nimeishiwa nguvu. Aksante mwaya si wajua tena sie wengine tushazeeka uvivu hadi kusoma posts. Aksante kwa kunipa heshima hiyo.
Haya pole zake.

(Ukija this time ukaninyanyapaa ntakuozesha kwa nguvu)
 
Umeona TF?

Hawa wana bangi vichwani ndo maana wanadhani watu wote ni wajinga kama wao! Mwanamke aliyeandaa na huyo mume wa mtu aliyembeba mke wake nakwenda kumuaibisha mbele za watu ni mazuzu tu!

Ngoja niconfirm what is going on between the two of them nitakuja na majibu muda si mredu maana naona DC kawa mkali mpaka naogopa
 
DC nitake radhi tafadhali kabla sijafuta kauli zangu kwako!!!!

Nilijua leo utanikaba koo....

Samahani mdogo wangu?

Ila nilimaanisha kwamba wewe hata siku moja hujawahi kukutana na huyo anaitwa shetani akakupitisha njia ambayo siyo sahihi ukaja kustuka baadaye? Hakuna roho ya jinai hapo...ni hamu ya kujua tu!
 
Eh nimeishiwa nguvu. Aksante mwaya si wajua tena sie wengine tushazeeka uvivu hadi kusoma posts. Aksante kwa kunipa heshima hiyo.
Haya pole zake.

(Ukija this time ukaninyanyapaa ntakuozesha kwa nguvu)

Ha ha ha haya bana ndo wanaume zetu hao wa siku hizi. (Usijali shida nabanwa sana na BE si unajua tena ha ha ha mtu asione tu hapa maana mmmhh)
 
Ngoja niconfirm what is going on between the two of them nitakuja na majibu muda si mredu maana naona DC kawa mkali mpaka naogopa

DA,

Wala usijisumbue...Mbona maandishi ubaoni hayana utata?

Halafu si kwamba mie nakuwa mkali ila ni suala la kukerwa na uchafu unaonfanywa nao hao mazuzu. Si unaona hata wewe ulipoambiwa kuwa ni ma-ex ulikosa amani?
 
Nilijua leo utanikaba koo....

Samahani mdogo wangu?

Ila nilimaanisha kwamba wewe hata siku moja hujawahi kukutana na huyo anaitwa shetani akakupitisha njia ambayo siyo sahihi ukaja kustuka baadaye? Hakuna roho ya jinai hapo...ni hamu ya kujua tu!

Sijawahi hata siku moja we mwenyewe unajua lakini unafanya makusudi tu
 
Ndo maana nilishasema kuwa hawa wasidhani wanatuzuga sisi...wanajidanganya wenyewe. Kila kitu kiko wazi...hawa wanatwanga uzinzi kwa kwenda mbele kama vile hawana akili nzuri...!!
Aksante Babu.......kusema ukweli nyie ndio mliofaidi maisha. Ulezi wa wana enzi zenu haukuwa wa taabu kama wetu sie na wenetu. Maisha ya ndoa kidogo yalikuwa na heshma si kama kwetyu sie ah.......I wish ningezaliwa enzi zako Babu.
 
DA,

Wala usijisumbue...Mbona maandishi ubaoni hayana utata?

Halafu si kwamba mie nakuwa mkali ila ni suala la kukerwa na uchafu unaonfanywa nao hao mazuzu. Si unaona hata wewe ulipoambiwa kuwa ni ma-ex ulikosa amani?


Haya bana kwa amri yako sitafanya uchunguzi tena
 
Ha ha ha haya bana ndo wanaume zetu hao wa siku hizi. (Usijali shida nabanwa sana na BE si unajua tena ha ha ha mtu asione tu hapa maana mmmhh)
Eh............... mwambie apunguze wivu bana ah........ Huyo mEX ....dah ana guts aisee.
 
Sijawahi hata siku moja we mwenyewe unajua lakini unafanya makusudi tu

Hongera sana mdogo wangu, wewe ni miongoni mwa wateule wachache sana kati ya wale waliokuwa wajukuu zangu enzi zile. Nilitaka kujua kama hujachakachuka na kuwa na tabia ya hasira hasira kama yule mjukuu mwingine!

Basi jitahidi kukaa mbali na huyo shetani kwani kila kitu chake ni kizuri kuliko Tanzanite au diamond.......
 
Eh............... mwambie apunguze wivu bana ah........ Huyo mEX ....dah ana guts aisee.

Kazi iko kubwa mie niliogopa kabisa maana eehhh wewe unaandaa kabisa birthday ye EX na una mume??? Hiyo ngumu
 

Nimeipenda hiyo kwa shetani mie nakuogopa vitu vyake ni vizuri ila mmmhhh mie sivitaki kabisa
 
Aksante Babu.......kusema ukweli nyie ndio mliofaidi maisha. Ulezi wa wana enzi zenu haukuwa wa taabu kama wetu sie na wenetu. Maisha ya ndoa kidogo yalikuwa na heshma si kama kwetyu sie ah.......I wish ningezaliwa enzi zako Babu.

Pole MJ1...itabidi mzidi kupambana na changamoto za nyakati...Mimi naogopa sana nikiangalia speed zenu!

By the way, hujui kuwa jina la Babu lilishapigwa chini? Naogopa kuitwa mlozi kama huyo kikongwe wa Loliondo. Nikiitwa Babu halafu watu wakapanga que mbele ya kibanda changu cha mbavu za mbwa nitawapa nini? Mimi sijui hata herb moja! Nimebwaga manyanga mdogo wangu!
 
Yaani wewe umeolewa halafu unamfanyia mume wa mtu mwingine birthday party.....mhhhhh

Unakuta mwenye mke hafanyiwi lol.

Hata zawadi tu kumnunulia ni mbinde haya mambo yanataka moyo unapenda usipo pendeka.
 
DA, Hadithi hii kakufundisha nani?

Wajukuu zangu wote, watiifu kwa watukutu, hadithi hii imetufundisha nini?

Mpigieni makofi DA tafadhali.

Na huu ndio mwisho wa kipindi hiki cha Mama na Mwana kwa siku hii ya leo. Tukutake wiki ijayooo!

Cheichei shangazi, tufurahi shangazi, shangazi, shangazi ooooh shangazi....cheicheiiii shangaziii!
 
Unakuta mwenye mke hafanyiwi lol.

Hata zawadi tu kumnunulia ni mbinde haya mambo yanataka moyo unapenda usipo pendeka.

Mmmhh Fidel80 wewe hujawahi kufanyiwa birthday!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…