Hii imekaaje wapendwa



Ha ha ha u made my day yaani nimefurahi kusikia kama niko home na bado mtoto nurcery school hivi
 

Ah sikuwa nimejua KAKA ...............
 

Aisee! OMG!:hatari::hatari::hatari:
 

DC mpendwa,

With serious note naomba ufafanuzi kwenye hiyo red hapo kabla sijainywea bia hii nauli niliyodunduliza tayari kwa safari ya kuelekea Semunge Village!
 
DC mpendwa,

With serious note naomba ufafanuzi kwenye hiyo red hapo kabla sijainywea bia hii nauli niliyodunduliza tayari kwa safari ya kuelekea Semunge Village!

Mkuu,

Unataka ufafanuzi gani kuhusu babu wa Loliondo? Wewe nenda tu ukafanye experiment halafu utakuja kutusimulia!

Ila DC anaamini huyo jamaa ni mlozi kama walivyo wanga wengine!
 
DC mpendwa,

With serious note naomba ufafanuzi kwenye hiyo red hapo kabla sijainywea bia hii nauli niliyodunduliza tayari kwa safari ya kuelekea Semunge Village!

Najitolea kukurudishia hiyo nauli ukiinywea bia ili tu uende kwa babu
 
Mkuu,

Unataka ufafanuzi gani kuhusu babu wa Loliondo? Wewe nenda tu ukafanye experiment halafu utakuja kutusimulia!

Ila DC anaamini huyo jamaa ni mlozi kama walivyo wanga wengine!

Ulishaamua kunikwaza toka jana. Hebu nenda kwenye hoja mchanganyiko ukaungane na Miss Judith kuna thread kaanzisha huko sijakuona
 
Ulishaamua kunikwaza toka jana. Hebu nenda kwenye hoja mchanganyiko ukaungane na Miss Judith kuna thread kaanzisha huko sijakuona

Haya mdogo wangu...Tutaonana kesho...Mbia wangu kaniira nimpeleke kutengeneza nywele!
 
Hey sisi
Nakusalimu hope u mzima
Maza anakuulizia
wiki hii yote hukuonekana home
 
Haya mdogo wangu...Tutaonana kesho...Mbia wangu kaniira nimpeleke kutengeneza nywele!

Makubwa hayo weekend alikuwa akifanya nini hakutengeneza hizo nywele mpaka uende leo siku ya kazi?? Haya kila heri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…