Hii imekaaje wapendwa

Aisee siyo haki hata kidogo....

Kama mnafanya mambo na Ex wako, hakikisha uliye naye hajui. Japo ni dhambi lakini ni afadhali kutenda dhambi sirini kuliko hadharani. Mimi babu yenu ODM nimefadhaika sana! Haki ya Mungu tena!

Hii kweli kabisa. Pole Babu hata mie nilishituka sikuamini anachoniambia ila mmmhh ngumu sana
 
Hii kweli kabisa. Pole Babu hata mie nilishituka sikuamini anachoniambia ila mmmhh ngumu sana

Ukiweka pembeni hii habari ya kusikitisha iliyoniharibia siku yangu, weye mwenyewe na viungo vyako vyote haujambo? Babu anakumisi ujue. Au mpaka nife uje unizike ndo utafurahi?
 
Ukiweka pembeni hii habari ya kusikitisha iliyoniharibia siku yangu, weye mwenyewe na viungo vyako vyote haujambo? Babu anakumisi ujue. Au mpaka nife uje unizike ndo utafurahi?

Pole Babu nitakupoza jioni. Ila mimi mzima sana nakumisii kweli na ile gari yetu T106FAW naimis sana. Ila umebaki mda mchache tu nitakuwa maeneo
 
Pole Babu nitakupoza jioni. Ila mimi mzima sana nakumisii kweli na ile gari yetu T106FAW naimis sana. Ila umebaki mda mchache tu nitakuwa maeneo

Nakusubiri kwa hamu.....

Wakija wajukuu zangu wengine kuchangia huu mswada, waambie babu alipita hapa mara moja akiwa safarini kuelekea Loliondo.

Nawapendeni nyote jamani.
 
Nakusubiri kwa hamu.....

Wakija wajukuu zangu wengine kuchangia huu mswada, waambie babu alipita hapa mara moja akiwa safarini kuelekea Loliondo.

Nawapendeni nyote jamani.

Sawa nitafikisha ujumbe
 
Nakusubiri kwa hamu.....

Wakija wajukuu zangu wengine kuchangia huu mswada, waambie babu alipita hapa mara moja akiwa safarini kuelekea Loliondo.

Nawapendeni nyote jamani.

Babu unaenda Loliondo kwa babu mwenzio sio, hivi babu unamkumbuka yule babu mwingine alikuwa kule salasala nyakati fulani hivi? Hivi yule anatofauti gani na huyu wa sasa? Au kwa vile huyu anaitwa mchungaji lol!!!
By the way. Karibu kwenye sherehe ya ex wa bibi, hivi ameshakwambia.
 

LD mchokozi wewe umeona Babu alivyokasirika hapo hataki kusikia mambo ya EX wewe unamwambia tena hayo shauri yako
 

Naomba ufute hiyo kauli tafazali...Ex wa bibi yenu ni mimi mwenyewe!
 
Dena eeh...! Hapa tusidanganyane, hawa watu bado wana uhusiano pamoja na kuwa ameoa/ameolewa.
 
Ha ha ha nilijua tu itakuwa hivi. Pole Babu typing' era bana
Mwambie sirudie tena kudadadadadeki....yaani bibi yenu alivo mtamu kuna jijanaume liliwahi kumnaniliu? God Forbid!

Dena eeh...! Hapa tusidanganyane, hawa watu bado wana uhusiano pamoja na kuwa ameoa/ameolewa.
Wewe umesema ukweli. Na Dena anapaswa kuujua huu ukweli....ila kwa leo kamata hii zawadi yako unayostahili




The Following User Says Thank You to Buke For This Useful Post:

Asprin (Today)
 
Dena eeh...! Hapa tusidanganyane, hawa watu bado wana uhusiano pamoja na kuwa ameoa/ameolewa.

Kiukweli hilo sikuliuliza maana nilipoambiwa ni ya EX nilipata shock hata nikashindwa kuendelea kuuliza lakini alikuwa kajikausha kweli yeye na wageni tu mara chakula mara vinywaji lakini wakati wa kukata keki maza hausi ndo alishughulika yeye alikaa mbali hata keki yenyewe hakulishwa alikula ile imewekwa kwenye sahani.
 

Ha ha ha Batu leo kweli besidei ya ex wa bibi imekuuma. Lakini hata mimi nilishituka nikauliza na mkewe nikaambiwa yule pale ndo kabisa nilipata mshangao nikaishiwa maneno
 

Mahawala huwa hawaachani hata miaka 20 wakikutana ni kukumbushia tu.
 


Na huyo mke aliendaje kwenye shughuli asiyojua mwandazi? Nadhani hajui wajibu wake ndo maana wenzie wanamsaidia.
 

DA, habari ya asubuhi? Kwenye blue nadhani was the hardest part ya hiyo sherehe kwa bibie
 
Mahawala huwa hawaachani hata miaka 20 wakikutana ni kukumbushia tu.

Ha ha ha ha Fidel bana kwahiyo na wewe tukikutana tunakumbushia kwa kwenda mbele sio??? Wewe acha hizo hebu leta mambo hapa acha kuweka msitari mmoja na kukimbia
 
DA, habari ya asubuhi? Kwenye blue nadhani was the hardest part ya hiyo sherehe kwa bibie

Nzuri sana Elia,

Kweli kabisa maana mie nilibaki na mshangao sana hata sikufaidi sherehe maana nilibaki namwangalia maza hausi kila anachotenda ni kabaki nastaajabu tu maana mie lazima ningeuliza nani kaandaa na imekuwaje na maswali meeengi mengi tu nadhani hata majibu angeyakosa. na mwisho NINGEONDOKA ENEO LA TUKIO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…