jf ni zaidi ya tuijuavyo!Loh!!
Yani mimba saba mmenyofoa?
Ilipotokea kwa mara ya kwanza nikahisi fix, tukatoa. Mara ya 2 tukatoa ya 3 ikashindikana akazaa tukaachana, msichana wa2 ikanasa ya kwanza akaitoa, ya pili akaitoa hii ya tatu hali ilikuwa mbaya bt sir God alinuru.. Hali imekuwa hivyo kwa wengine mpaka naogopa sasa. suala la zana binafs inakuwa ngumu ku2mia baada miezi kadhaa mkishazoeana cjui kwa wengin
Lizzy,lala.Utakua una roho ya kikatili sana aisee. . . 7 times?
Lizzy,lala.