Humjui then unakuta umeshamjua.... gademMtu anakuangalia sana humjui unajikuta unamjua sababu tu jinsi anavokuangalia si mara moja! Wa jinsia tofauti! Hasemi chochote Ilishanitokea mazingira ya shule, tulikuwa tukikutana mida ya kusoma, ikanilazimu nianze kumkwepa kwa vitendo ikiwemo kuhama eneo la kusoma, shida ikaja tunapokutana ghafla kama kulikuwa na vitu mikononi vinadondoka! Nacheka sana nikikumbuka ningetengeneza movie kwa hii story nimefupisha tu! Imekaaje hii jamani? Lol. .