hii imekaaje ?

hii imekaaje ?

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2006
Posts
4,191
Reaction score
677
inakubalika.JPG
 
naona jamaa anaweza enda haja ndogo hapo hapo
 
kama wahusika hawana shida na wako ukumbini ambako tunaamini hakuna watoto, ni sawa tu, haina shida
 
Hakuna kulala doro hapo!! Jamaa ameshikiria yaani haamini kama kimeeleweka ameamua alinde na mikono kabisa!! Kazi kweli kweli
 
we unaonaje? mbona unatuletea umbea humu ndani? ulienda club kupiga watu picha afu uziweke humu? shame on you! jipige wewe uweke zako humu ndo tukutolee maoni, akili zako hazikutoshi!
 
Back
Top Bottom