hii imekaaje ?

naona jamaa anaweza enda haja ndogo hapo hapo
 
kama wahusika hawana shida na wako ukumbini ambako tunaamini hakuna watoto, ni sawa tu, haina shida
 
Hakuna kulala doro hapo!! Jamaa ameshikiria yaani haamini kama kimeeleweka ameamua alinde na mikono kabisa!! Kazi kweli kweli
 
ah hapo mbona usalama upo tena maadili yapo LUKUKI
 
Jamaa alikuwa anapima joto la mashine!!
 
we unaonaje? mbona unatuletea umbea humu ndani? ulienda club kupiga watu picha afu uziweke humu? shame on you! jipige wewe uweke zako humu ndo tukutolee maoni, akili zako hazikutoshi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…