Hii imekaje kwa mzee wa kuvunja rekodi wa viewer!!

bizzle11

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
246
Reaction score
198
Huyu jamaa ametoa nyimbo na underground kama reynavvy na kuweka record ya viewer million mbili ndani ya siku mbili. Sasa hii ya sasa hivi katoa na msani mkubwa tena anajulikana dunia nzima lakini mpaka sasa video hajafikisha million 1 tatizo nn!! Na sasa hivi hawaongelei issu ya viewer
 
Asee now mda mbaya
Kuna
Trump
Makonda na madawa
Kigwangala na delicious wake
Hamoraper
Tundu lissu kukamatwa
Ishu ni nyingi nadhan timing imekuwa mbaya na views wana fuatilia mambo mengine

Ila kweli Diamond baba ya muziki views laki 8 kwa siku 5 kwake inaonekana kafeli!!
 
Jamaa kamkataza asinunue si unajua tena mbele uko
 
Sasa hivi hawezi kufanya janjajanja unversal huwa hawapendi ujinga,hii ndio ilikuwa page yake aliyokuwa anatumia ma robort ya Google kuongeza watazamaji[emoji116]
Hii chini ndio page ya sasa ambayo iko chini ya uangalizi wa unversal huku hawezi kutumia ma robort
 
Ukiangalia pale utakutana na njia nyingi za kuplay hiyo video..vip umekusanya viewers wote na kujumlisha ukapata hiyo namba
 
timing haikua nzur managemnt yake nafikir kuhusu release date naona ilipangwa na universal
 
Umeongea point lakin ungetoa hilo neno marobot ndo ingekuwa points zaid, ukwel ndo huo kwa video hii amebadil ac ndo maana viewers sio wengi coz subscribers pia sio wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…