ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Bro sasa mbona anakubali kuburuzwa tena wakati hayo ndio mambo aliyokuwa akiyapinga miaka yote?!
Unaanzaje kuacha Account yenye subscribers 400000+ tena iliyokupa mpaka tuzo kutoka YouTube na iliyokuwa ikifanya video zake zifikishe milioni 10+ Viewers?!
Na mwenyewe alisema mkataba wake na Universal ni jamaa kuuza ngoma zake mitandaoni...
Na alisema universal hawatoingilia chochote kuhusu zake ziweje,aimbe na nani au zitoke lini sasa mbona tunaanza kuona mambo tofauti tena?!
Hivi mkijifunza kitunza akiba ya maneno mtapungukiwa na nini.Sasa hivi hawezi kufanya janjajanja unversal huwa hawapendi ujinga,hii ndio ilikuwa page yake aliyokuwa anatumia ma robort ya Google kuongeza watazamaji[emoji116]
Hii chini ndio page ya sasa ambayo iko chini ya uangalizi wa unversal huku hawezi kutumia ma robort
Haha! Kweli kabisawako bize kufuatilia sakata la madawa ya kulevya....wabongo hawawezi kufuatilia mambo mawili kwa wakati mmoja
wabongo bwana issue hapo mbona ni ndogo sana! kwanza amebadili account ile vevo ni mpya kabisa!
Halafu video imewekwa you tube siku ya tatu baada ya kuchezwa trace kwa mara ya kwanza na clouda tv siku nzima iliyofuata!
Ile hamasa ya watu kwenda you tube ilipungua!
Ngojeni ifike muda na hao wengine wafungue vevo accont kwa mara ya kwanza muone viewers watakua wangapi!
Sasa hivi hawezi kufanya janjajanja unversal huwa hawapendi ujinga,hii ndio ilikuwa page yake aliyokuwa anatumia ma robort ya Google kuongeza watazamaji[emoji116]
Hii chini ndio page ya sasa ambayo iko chini ya uangalizi wa unversal huku hawezi kutumia ma robort
Hahahaaaaaawako bize kufuatilia sakata la madawa ya kulevya....wabongo hawawezi kufuatilia mambo mawili kwa wakati mmoja
Mashabiki wa neyo nao wanafatilia ishu ya unga?timing haikua nzur managemnt yake nafikir kuhusu release date naona ilipangwa na universal
I doubt hata kama VEVO yenyewe unaifahamu vizuri zaidi ya kuona label yake vinginevyo wala usingeleta hiyo hoja!!!! Lakini ikiwa unaamini unaweza kununua organic Views Youtube (Omary Nyembo type!) sitashangaa ukiongea hayo!!!!Bro sasa mbona anakubali kuburuzwa tena wakati hayo ndio mambo aliyokuwa akiyapinga miaka yote?!
Unaanzaje kuacha Account yenye subscribers 400000+ tena iliyokupa mpaka tuzo kutoka YouTube na iliyokuwa ikifanya video zake zifikishe milioni 10+ Viewers?!
Na mwenyewe alisema mkataba wake na Universal ni jamaa kuuza ngoma zake mitandaoni...
Na alisema universal hawatoingilia chochote kuhusu zake ziweje,aimbe na nani au zitoke lini sasa mbona tunaanza kuona mambo tofauti tena?!
kaka umemaliza kila kituI doubt hata kama VEVO yenyewe unaifahamu vizuri zaidi ya kuona label yake vinginevyo wala usingeleta hiyo hoja!!!! Lakini ikiwa unaamini unaweza kununua organic Views Youtube (Omary Nyembo type!) sitashangaa ukiongea hayo!!!!
FYI, UMG ni mmoja wa wamiliki wa VEVO na distributors walianzisha VEVO ili ku-control kazi wanazosambaza kwakuwa copyright issue kwa Youtube ni kimeo! Sasa unachoongea wewe ni sawa leo Yanga waingie mkataba na Mohammed Trans kuwasafirisha kwenye mechi za mikoani halafu unashangaa kukuta wachezaji wa Yanga wamepanda mabasi ya Mohammed Trans wakati wanaelekea kupiga mechi Morogoro!
Umeona hapo ulipojidhihirishia kwamba suala lenyewe hulifahamu?!
Back to views! Ngoma ambayo ilipata views nyingi ndani ya siku chache ni Salome!! Hivi kuna mtu anaweza kushangaa kwa hili! No offense kwa Wahaya, lakini ulishajaribu kujiuliza jinsi Wahaya walivyokuwa wanapigiana simu kuhabarishana juu ya new version ya Salome?! Au lishawahi kujiuliza hata wale Wahaya wasio wapenzi wa Bongo Flavor walipoamua kuingia Youtube kwa sababu tu ya Salome?!
Hata ukiwa hater, unatakiwa kutumia common sense jombaa!!
Ngoma imebuma! Hebu msome Mondi hapa:
View attachment 468700
Kumbe KIDOGO ilifikisha 1 Million Views within 4 days!
Mosi, kama Kidogo ili-break records kwa kupata 1 M within 4 days, ina maana video zingine zilikuwa zinafika 1 million kuanzia siku ya 5 na kuendelea!! Marry You imepata 1 Million within 5 Days sawa na video zingine za zamani!!
Lini mmeanza habari za Diamond kununua Views?! Mnaona mnavyoleta viroja?! Kabla ya Kidogo alikuwa anachukua 5+ days kufikisha 1 Million mkawa mnasema ananunua views, leo hii anafikisha 1 Million within 5 days, mnasema VEVO hakuna ujanja ujanja wa kununua views... bwah bwah bwah!!!
But look, Kidogo ilifikisha 1 Million within 4 days wakati watu wimbo ulikuwa haufahamiki kwahiyo kila mtu alikuwa na hamu tofauti na Marry You iliyofahamika zaidi ya mwezi 1 b4! Hapo hatujaongelea drama za drugs ambazo ndo zina-trend hivi sasa!
Lakini pamoja na yote hayo, Marry You imefikisha 1 Million within 5 days! But on top of that, ni #1 Trending since day 1 !!!
View attachment 468706
Endeleeni kujifurahisha kwamba ngoma imebuma but watch 15,570 Subscribers! Channel ya mpendwa wako hii hapa:
View attachment 468714
Keep the post! Akishazungukwa idadi ya subcribers ndani ya 3 months usije kuleta simulizi za kununua subscribers manake ushasema hakuna ujanja ujanja VEVO!!!
Mkuu umemzika mzima mzima bila hurumaI doubt hata kama VEVO yenyewe unaifahamu vizuri zaidi ya kuona label yake vinginevyo wala usingeleta hiyo hoja!!!! Lakini ikiwa unaamini unaweza kununua organic Views Youtube (Omary Nyembo type!) sitashangaa ukiongea hayo!!!!
FYI, UMG ni mmoja wa wamiliki wa VEVO na distributors walianzisha VEVO ili ku-control kazi wanazosambaza kwakuwa copyright issue kwa Youtube ni kimeo! Sasa unachoongea wewe ni sawa leo Yanga waingie mkataba na Mohammed Trans kuwasafirisha kwenye mechi za mikoani halafu unashangaa kukuta wachezaji wa Yanga wamepanda mabasi ya Mohammed Trans wakati wanaelekea kupiga mechi Morogoro!
Umeona hapo ulipojidhihirishia kwamba suala lenyewe hulifahamu?!
Back to views! Ngoma ambayo ilipata views nyingi ndani ya siku chache ni Salome!! Hivi kuna mtu anaweza kushangaa kwa hili! No offense kwa Wahaya, lakini ulishajaribu kujiuliza jinsi Wahaya walivyokuwa wanapigiana simu kuhabarishana juu ya new version ya Salome?! Au lishawahi kujiuliza hata wale Wahaya wasio wapenzi wa Bongo Flavor walipoamua kuingia Youtube kwa sababu tu ya Salome?!
Hata ukiwa hater, unatakiwa kutumia common sense jombaa!!
Ngoma imebuma! Hebu msome Mondi hapa:
View attachment 468700
Kumbe KIDOGO ilifikisha 1 Million Views within 4 days!
Mosi, kama Kidogo ili-break records kwa kupata 1 M within 4 days, ina maana video zingine zilikuwa zinafika 1 million kuanzia siku ya 5 na kuendelea!! Marry You imepata 1 Million within 5 Days sawa na video zingine za zamani!!
Lini mmeanza habari za Diamond kununua Views?! Mnaona mnavyoleta viroja?! Kabla ya Kidogo alikuwa anachukua 5+ days kufikisha 1 Million mkawa mnasema ananunua views, leo hii anafikisha 1 Million within 5 days, mnasema VEVO hakuna ujanja ujanja wa kununua views... bwah bwah bwah!!!
But look, Kidogo ilifikisha 1 Million within 4 days wakati watu wimbo ulikuwa haufahamiki kwahiyo kila mtu alikuwa na hamu tofauti na Marry You iliyofahamika zaidi ya mwezi 1 b4! Hapo hatujaongelea drama za drugs ambazo ndo zina-trend hivi sasa!
Lakini pamoja na yote hayo, Marry You imefikisha 1 Million within 5 days! But on top of that, ni #1 Trending since day 1 !!!
View attachment 468706
Endeleeni kujifurahisha kwamba ngoma imebuma but watch 15,570 Subscribers! Channel ya mpendwa wako hii hapa:
View attachment 468714
Keep the post! Akishazungukwa idadi ya subcribers ndani ya 3 months usije kuleta simulizi za kununua subscribers manake ushasema hakuna ujanja ujanja VEVO!!!
kaka umemaliza kila kitu
Hawa jamaa wasahalifu vibaya mno!! Leo hapa wanapiga vigele gele kwamba VEVO hakuna janja janja kwavile hawatumii takwimu lakini kesho na keshokutwa wakiona Views zinazidi kumiminika watakuja tena na hoja ya kununua views!!!Mkuu umemzika mzima mzima bila huruma
Idadi ya viewers inaongezeka kwa kasi sana Jana ilikuwa milioni 1 , Leo tayari imefika 1.2 yaani ndani ya 24 hours tayari laki 2 ,Hawa jamaa wasahalifu vibaya mno!! Leo hapa wanapiga vigele gele kwamba VEVO hakuna janja janja kwavile hawatumii takwimu lakini kesho na keshokutwa wakiona Views zinazidi kumiminika watakuja tena na hoja ya kununua views!!!
Ben Pol ndo ameathirika sana na huu upepo unaoendelea! Wakati walipishana siku moja tu ku-upload video; Diamond yupo #1 trending na Ben Pol yupo #17 na hapa kati kati (1-16) zimejaa issue za drugs na masekeseke yanayoendelea bungeni!!!!Idadi ya viewers inaongezeka kwa kasi sana Jana ilikuwa milioni 1 , Leo tayari imefika 1.2 yaani ndani ya 24 hours tayari laki 2 ,
Nguvu ya diamond no kubwa africa
Alafu bwabwa linaropoka eti wimbo umebuma.....wimbo tokea utoke upo namba moja trend kwa YouTube siku ya sits sasa yaan team kiba kwa kujichetua nawakubaliBen Pol ndo ameathirika sana na huu upepo unaoendelea! Wakati walipishana siku moja tu ku-upload video; Diamond yupo #1 trending na Ben Pol yupo #17 na hapa kati kati (1-16) zimejaa issue za drugs na masekeseke yanayoendelea bungeni!!!!
Umemaliza kila kitu mkuu, kwa huu uzi asiyekuelewa basi ana mtindio wa ubongoI doubt hata kama VEVO yenyewe unaifahamu vizuri zaidi ya kuona label yake vinginevyo wala usingeleta hiyo hoja!!!! Lakini ikiwa unaamini unaweza kununua organic Views Youtube (Omary Nyembo type!) sitashangaa ukiongea hayo!!!!
FYI, UMG ni mmoja wa wamiliki wa VEVO na distributors walianzisha VEVO ili ku-control kazi wanazosambaza kwakuwa copyright issue kwa Youtube ni kimeo! Sasa unachoongea wewe ni sawa leo Yanga waingie mkataba na Mohammed Trans kuwasafirisha kwenye mechi za mikoani halafu unashangaa kukuta wachezaji wa Yanga wamepanda mabasi ya Mohammed Trans wakati wanaelekea kupiga mechi Morogoro!
Umeona hapo ulipojidhihirishia kwamba suala lenyewe hulifahamu?!
Back to views! Ngoma ambayo ilipata views nyingi ndani ya siku chache ni Salome!! Hivi kuna mtu anaweza kushangaa kwa hili! No offense kwa Wahaya, lakini ulishajaribu kujiuliza jinsi Wahaya walivyokuwa wanapigiana simu kuhabarishana juu ya new version ya Salome?! Au lishawahi kujiuliza hata wale Wahaya wasio wapenzi wa Bongo Flavor walipoamua kuingia Youtube kwa sababu tu ya Salome?!
Hata ukiwa hater, unatakiwa kutumia common sense jombaa!!
Ngoma imebuma! Hebu msome Mondi hapa:
View attachment 468700
Kumbe KIDOGO ilifikisha 1 Million Views within 4 days!
Mosi, kama Kidogo ili-break records kwa kupata 1 M within 4 days, ina maana video zingine zilikuwa zinafika 1 million kuanzia siku ya 5 na kuendelea!! Marry You imepata 1 Million within 5 Days sawa na video zingine za zamani!!
Lini mmeanza habari za Diamond kununua Views?! Mnaona mnavyoleta viroja?! Kabla ya Kidogo alikuwa anachukua 5+ days kufikisha 1 Million mkawa mnasema ananunua views, leo hii anafikisha 1 Million within 5 days, mnasema VEVO hakuna ujanja ujanja wa kununua views... bwah bwah bwah!!!
But look, Kidogo ilifikisha 1 Million within 4 days wakati watu wimbo ulikuwa haufahamiki kwahiyo kila mtu alikuwa na hamu tofauti na Marry You iliyofahamika zaidi ya mwezi 1 b4! Hapo hatujaongelea drama za drugs ambazo ndo zina-trend hivi sasa!
Lakini pamoja na yote hayo, Marry You imefikisha 1 Million within 5 days! But on top of that, ni #1 Trending since day 1 !!!
View attachment 468706
Endeleeni kujifurahisha kwamba ngoma imebuma but watch 15,570 Subscribers! Channel ya mpendwa wako hii hapa:
View attachment 468714
Keep the post! Akishazungukwa idadi ya subcribers ndani ya 3 months usije kuleta simulizi za kununua subscribers manake ushasema hakuna ujanja ujanja VEVO!!!