Hii Imenichekesha kweli

Hii Imenichekesha kweli

kilemi

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2009
Posts
547
Reaction score
107
Eti ndio tofauti ya akili ya mwanamke na mwanaume
akili ya pili ni ya mwanaume!!
 
Mhhhh oyaaa vitu vingine hivi bwana twaacha fanya kazi kuangalia katuni
 
Huu ubongo wa kiume kiboko....uko bize kupita maelezo.
 
Tafsiri yake ni kwamba wanaume always wanawaza NGONO TUUUUUUU. angalieni vizuri hapooooo
 
Maana yake ni kwamba akili ya mwanaume lazima ifanye kazi kwani tukiangalia mwanaume ni kama kichwa katika familia kwa hiyo lazima akili ifanye kazi ya ziada.
 
Maana yake ni kwamba akili ya mwanaume lazima ifanye kazi kwani tukiangalia mwanaume ni kama kichwa katika familia kwa hiyo lazima akili ifanye kazi ya ziada.

Asante sana!

F_20031004ed_imgMan_245281a.jpg
 
Dah si mchezo
Naomba niagizie pweza maana siku hizi hata nguvu zimepungua nasikia Zenji pweza wazuri sana huku bara twalishwa pweza wa kichina.

Pweza hasa mkia unaweka na pili pili Manga! Lazima utafute bata
 
Back
Top Bottom