Picha ya Mwanafunzi
HATI YA KIAPO YA MWANAFUNZI
Mimi,
.,Muislamu/Mkristo/Mpagani, nikiwa na akili zangu timamu na bila kushurutishwa, NAAPA NA KUTHIBITISHA kwamba;
1. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa
.Chuo Kikuu cha Dodoma.
2. Namba yangu ya usajili ya Chuoni ni
3. Nathibitisha kwamba mimi
nimelipa madeni yote ninayodaiwa na Chuo ikiwa ni pamoja na kulipa gharama ya usajili wa kurudi chuoni baada ya kusimamishwa masomo.
4. Naapa kwamba mimi
.
nitakapokuwa nimesajiliwa upya nitatii sheria za Chuo na kanuni zake,sheria ndogo za wanafunzi na sheria za nchi kwa ujumla. Na kwamba mimi
..nitatumia muda wangu kusoma badala ya kujihusisha au kuhusika kwenye migogoro na siasa chuoni.
5. Mimi
..nitatumia uongozi wa Chuo kupata msaada pindi ninapojikuta kwenye mgogoro nisiokubaliana nao.
6. Kwa kiapo hiki mimi
.
naahidi iwapo nitashindwa kuzifuata sheria hizo Chuo kiniondoe masomoni mara moja.
7. Natoa kiapo hiki nikitambua Sheria ya Viapo na matamko Sura ya 34 ya Mwaka 1966 [Sura 34 Marejeo 2002]
UTHIBITISHO Nathibitisha kwamba, yale yote yaliyosemwa katika aya ya 1, 2, 3, 4, 5, 6, na 7 hapo juu ni kweli tupu kwa kadri ya uelewa wangu. Imesainiwa hapa
.., hii leo tarehe
..., Mwezi wa
.2011.
Saini ya Muapaji
.. Jina la Muapaji
Kiapo kimetolewa hapa
. na
., ambaye ametambulishwa
Kwangu na
......................
Ambaye nimemfahamu binafsi hii leo
Tarehe
Mwezi wa
, 2011
MBELE YANGU
KAMISHNA WA VIAPO