Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Salaam! Kuna ile hali huwa inamtokea mdogo wangu, kuna watu ambao mara nyingi humtabiria mema kama vile kuja kuwa kiongozi mkubwa n.k
Mfano mara nyingi hukutana na hizi kauli "ahsante sana utakuja kufanikiwa", " wewe ni mkombozi", "wewe ni kiongozi" n.k
Kauli hizi huambiwa hata na watu ambao hawajawahi kukutana hata siku moja. Pia huyu dogo ana sifa fulani za tofauti na ana tabia fulani za ajabu ajabu, mfano ulaji wake ni wa kushangaza, hali chakula kutoka nje ya kwetu.
Pia shuleni aliwahi kuwa wa mwisho kisa alikataa possible ya mtihani uliovuja, yaani ni kama hajali, na hayupo serious hivi. Kikubwa kilichonileta hapa ni kuwa ana tabia za kujitenga sana japo ana heshima. Jamani naombeni ufumbuzi wa kumfahamu huyu dogo.
Wataalamu nawasilisha!
Mfano mara nyingi hukutana na hizi kauli "ahsante sana utakuja kufanikiwa", " wewe ni mkombozi", "wewe ni kiongozi" n.k
Kauli hizi huambiwa hata na watu ambao hawajawahi kukutana hata siku moja. Pia huyu dogo ana sifa fulani za tofauti na ana tabia fulani za ajabu ajabu, mfano ulaji wake ni wa kushangaza, hali chakula kutoka nje ya kwetu.
Pia shuleni aliwahi kuwa wa mwisho kisa alikataa possible ya mtihani uliovuja, yaani ni kama hajali, na hayupo serious hivi. Kikubwa kilichonileta hapa ni kuwa ana tabia za kujitenga sana japo ana heshima. Jamani naombeni ufumbuzi wa kumfahamu huyu dogo.
Wataalamu nawasilisha!