Hii ina maana gani kiroho?

Hii ina maana gani kiroho?

Mkulungwa01

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
3,977
Reaction score
5,339
Salaam! Kuna ile hali huwa inamtokea mdogo wangu, kuna watu ambao mara nyingi humtabiria mema kama vile kuja kuwa kiongozi mkubwa n.k

Mfano mara nyingi hukutana na hizi kauli "ahsante sana utakuja kufanikiwa", " wewe ni mkombozi", "wewe ni kiongozi" n.k

Kauli hizi huambiwa hata na watu ambao hawajawahi kukutana hata siku moja. Pia huyu dogo ana sifa fulani za tofauti na ana tabia fulani za ajabu ajabu, mfano ulaji wake ni wa kushangaza, hali chakula kutoka nje ya kwetu.

Pia shuleni aliwahi kuwa wa mwisho kisa alikataa possible ya mtihani uliovuja, yaani ni kama hajali, na hayupo serious hivi. Kikubwa kilichonileta hapa ni kuwa ana tabia za kujitenga sana japo ana heshima. Jamani naombeni ufumbuzi wa kumfahamu huyu dogo.

Wataalamu nawasilisha!
 
Salaam! Kuna ile hali huwa inamtokea mdogo wangu, kuna watu ambao mara nyingi humtabiria mema kama vile kuja kuwa kiongozi mkubwa n.k

Mfano mara nyingi hukutana na hizi kauli "ahsante sana utakuja kufanikiwa", " wewe ni mkombozi", "wewe ni kiongozi" n.k

Kauli hizi huambiwa hata na watu ambao hawajawahi kukutana hata siku moja. Pia huyu dogo ana sifa fulani za tofauti na ana tabia fulani za ajabu ajabu, mfano ulaji wake ni wa kushangaza, hali chakula kutoka nje ya kwetu.

Pia shuleni aliwahi kuwa wa mwisho kisa alikataa possible ya mtihani uliovuja, yaani ni kama hajali, na hayupo serious hivi. Kikubwa kilichonileta hapa ni kuwa ana tabia za kujitenga sana japo ana heshima. Jamani naombeni ufumbuzi wa kumfahamu huyu dogo.

Wataalamu nawasilisha!
Anaweza kuwa na matatizo ya akili mpelekeni hospitali watamsaidia badala ya kuanza kuingiza hizo roho zenu za ajabu ajabu. Kama wazazi wake ni waganga hasa kama wale wanaotumia dini, anafuata nyayo zao. Kwa watu wa pwani wataanza kusema ana maruhani na mambo mengine ya kiswahili kama hayo.
 
Anaweza kuwa na matatizo ya akili mpelekeni hospitali watamsaidia badala ya kuanza kuingiza hizo roho zenu za ajabu ajabu. Kama wazazi wake ni waganga hasa kama wale wanaotumia dini, anafuata nyayo zao. Kwa watu wa pwani wataanza kusema ana maruhani na mambo mengine ya kiswahili kama hayo.
Ahsante sana, je kwa dalili gani ulizoziona una-conclude hivyo kuwa anaweza kuwa na maruhani, au uganga?
 
Back
Top Bottom