Nimekuta sehemu watu wakijadili na kushindwa kufikia muafaka. Swali ni kwamba kwa nini nyumbani unapiga bao 1 kwa mchepuko bao 5? Je, ni kweli? Na inasababishwa na nini?
Hivi wewe kama umezoea kula wali maharage kila siku afu ikatokea umepewa wali sato wenye nazi unadhani utakula kwa kiwango kilekile? Je taste nayo itakua vilevile?