Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Huu ni mtazamo wangu binafsi
Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kuunda katiba mpya
TANZANIA SIO TAIFA LA DINI YOYOTE
Tanzania haitumii Quruani wala Biblia kufanya maamuzi kwa sababu sio Taifa la dini yoyote
Tanzania ukienda mahakamani una jinasua au hukumiwa kulingana na SHERIA/KATIBA , sio kulingana na Biblia au Quruani
Nimeandika haya kama ONYO kwa Rais Jakaya Kikwete na Tume ya katiba. Kosa kubwa watakalo fanya kwenye katiba mpya ni kuruhusu upuuzi alio kuwa akiujadili Prof. Lipumba kwenye msikiti mmoja jijini Dar. kuhusu mahakama ya KADHI.
TUNAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI NA SIO BIBLIA WALA QURUANI NA TANZANIA SIO TAIFA LA DINI YOYOTE
Pia, Asante Professor Lipumba kwa information kuhusu kumsaidia JK na uchaguzi wa 2010. Asante!
Mwisho, asante tena Lipumba kwa ushauri wako kuhusu MAHAKAMA YA KADHI kuwepo kwenye katiba mpya, but you are WRONG ON THIS ONE.
Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kuunda katiba mpya
TANZANIA SIO TAIFA LA DINI YOYOTE
Tanzania haitumii Quruani wala Biblia kufanya maamuzi kwa sababu sio Taifa la dini yoyote
Tanzania ukienda mahakamani una jinasua au hukumiwa kulingana na SHERIA/KATIBA , sio kulingana na Biblia au Quruani
Nimeandika haya kama ONYO kwa Rais Jakaya Kikwete na Tume ya katiba. Kosa kubwa watakalo fanya kwenye katiba mpya ni kuruhusu upuuzi alio kuwa akiujadili Prof. Lipumba kwenye msikiti mmoja jijini Dar. kuhusu mahakama ya KADHI.
TUNAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI NA SIO BIBLIA WALA QURUANI NA TANZANIA SIO TAIFA LA DINI YOYOTE
Pia, Asante Professor Lipumba kwa information kuhusu kumsaidia JK na uchaguzi wa 2010. Asante!
Mwisho, asante tena Lipumba kwa ushauri wako kuhusu MAHAKAMA YA KADHI kuwepo kwenye katiba mpya, but you are WRONG ON THIS ONE.