figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
saaly mbona haunielewi?nmekuambia usibeep wala kutuma msg.hii si joke.
mbona sijakubeep,nimekupigia tukaongea ukakata,nilijua wewe ni mzungu,umesema sio.
ahaa !! Mkuu kubeba zege huku una AK 47 begani.au ya ulinzi mafundi wasiibe Zement?Mimi napita tu naenda zangu kazini kubeba zege
samahani nimekupigia nikijua wewe ni mzungu,mwenzenu natafuta mzungu.:bange:
mambo ya kuhangaika kutafuta mabibi/mabwana wa kizungu sasa yamepatiwa dawa.so usihangaike.
piga hii namba na wewe upate wa kwako hii ni offer.
ninadeal na wanao taka wazungu tu!
0654798434
Muhosni na wewe unapenda vislope??Vibibi vyenye pesa vinapatina?
Vibibi vyenye pesa vinapatina?
Crap.
.
kweli is more than CRAP.....kazi unayo
ni headache.