hii inakuaje?


Mkuu wewe mchumi nini
 
thanx guys,,. ila nikisema kwake cmaanishi ndo nyumban no,.. anaish temporarly 2 na friends afta a year anasepa kwao ni mkoa.,,
 

Mkuu umesahau na durex 4,000
jumla 126,000.-
 
thanx guys,,. Ila nikisema kwake cmaanishi ndo nyumban no,.. Anaish temporarly 2 na friends afta a year anasepa kwao ni mkoa.,,
kumbe ni chimbo tu basi hapo unadanganyika shosti
 
ha ha ha ,,.. nikisema outn cmaanishi nataka vyote hvyo no,.. npo tayar kama ni dala dala 2napanda tena hata nauli ntalipa mm cpend kuwa dependent kwake kwan bado hatujaoana,.. wat i needed ni jst kurefresh me na yy 2,.. wala vi2 vingne havihucki hapo. nw nimepata point alikuwa anaogopa gharama wakat mm nilikuwa chitaj hvyo vyote,..
 

Bila shaka kuna kitu kutoka kwake ambacho unajaribu kukia-ovid but yeye anajitahidi kukivuta. Sasa hapo bibie akili kumkichwa ukimuendekeza imekula kwako!
 

Umeonae...

Kidume kumbe anabana geto kwa washkaji, alaf we unaleta za outng!

Vumilia bana, cku c nyingi nae atakamata ofc ya kifisadi, na mtakula sana raha kwa kodi zetu waTZ
 

Wala sio kwamba anaogopa gharama my dia, huyo kukuitia kwake anataka ale mzigo tu hana lolote hapo so akili kumkichwa.
 
Wala sio kwamba anaogopa gharama my dia, huyo kukuitia kwake anataka ale mzigo tu hana lolote hapo so akili kumkichwa.

Ye ni mwanaume na kunku ni mwanamke. Kwani alitakiwa awe tena na lolote lipi?
 
Hizo sehemu nyingine anazo kataa ni zipi? inawezekana ndo mambo anayosema Tuko, gharama mara mia 7. Propose ka sehemu ambako kametulia na hakana garama uone. Hiyo haina uhusiano na kama anakupenda au la
 
.....kwan huko kwingine anakotaka apelekwe anafikiri kuna jipya zaidi ya toboa toboo?
 
Anataka sex! Kama haja kwambia ndo ujue leo. Anaamin mkiwa kAKE LAZIMA A...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…