Hii inakuwaje?hebu nielezeni

hehe ankal , tupe porojo lako basi kuhusiana na huyu kimeo wa sweetdada.
Huyo ni nyambaff kabisa hafai hata kupewa majukumu anachanganyikiwa kitu gani sasa labda kama ameishanyonyolewa/kunyonyoa wengi
 
Huyo ni nyambaff kabisa hafai hata kupewa majukumu anachanganyikiwa kitu gani sasa labda kama ameishanyonyolewa/kunyonyoa wengi
unajua ankal, nimeshasuluhisha ma relationship mengi sana east afrika mashariki na kati lakini excuse kama hii ndio kwanza nimesoma leo hapa JF. kule Saudia mzembe kama huyu ananyongwa halaf anazikwa na jeshi. sasa na hilo jibaba uskute pengine bado linang'ang'ania na kufuga huu uzembe.
 
:lol::lol::lol::lol: mbavu zangu mie..wananchi mna hasira ..ssa mkimuona live je si mtamtoa macho
 
Huyo dada ashapata wengine,na anaonekana hakumpenda huyo jamaa. Km unampenda mtu kwa dhati ata ukitongozwa huwezi kutilia maanani.duh mapenzi bana.
 
Ankal kuna haja ya huyo mtu kuchunguzwa kama ni mzima kwanza, au akapelekwa akae kambi ya jeshi kwanza
 
:lol::lol::lol::lol: mbavu zangu mie..wananchi mna hasira ..ssa mkimuona live je si mtamtoa macho
sweetdada ni bora kama huyo mtu angechanganyikiwa na huyo mwenzi/mchumba wake ningemuona wa maana sana
 


Hahahhahahaa.....kweli huyo dada ni kiboko!!!Ingekua kila mtu yuko hivyo watu wengi sana wangekua wamchanganyikiwa!!Huyo anatafuta tu sababu ya kuachana na mwenzake.....kuna mahali macho yametua na anatafuta jinsi yakusogeza miguu!!!
 

Hapa inavoonekana hako kamdada kamepata jamaa zaidi ya huyo jamaa kalokuwa nae... sasa ili kujichomoa kakaona kasingizie kutakwa na watu wengi... kap**zi sana watu wanatakwa kila sehemu mpaka na wakwe zao lakini wanasimamia kile wanachoamini!!!!
 
Ankal kuna haja ya huyo mtu kuchunguzwa kama ni mzima kwanza, au akapelekwa akae kambi ya jeshi kwanza
hehehe halaf kila ukisoma hizi sredi za JF ndio unazidi kugundua kwamba hili taifa lina idadi kubwa ya wazembe kuliko tunavyofikiria. hivi michelle hajaludi loliondo?
 
Hapa inavoonekana hako kamdada kamepata jamaa zaidi ya huyo jamaa kalokuwa nae... sasa ili kujichomoa kakaona kasingizie kutakwa na watu wengi... kap**zi sana watu wanatakwa kila sehemu mpaka na wakwe zao lakini wanasimamia kile wanachoamini!!!!
mkuu huyu ni msanii tu, tena usanii wake ni bomu kuliko wa kanumba, yaani hii excuse hata milembe haipatikani, kama anaongea maneno hii mbele yangu lazima tung'oane meno japo mawili. khaaa!
 
Hahahhahahaa.....kweli huyo dada ni kiboko!!!Ingekua kila mtu yuko hivyo watu wengi sana wangekua wamchanganyikiwa!!Huyo anatafuta tu sababu ya kuachana na mwenzake.....kuna mahali macho yametua na anatafuta jinsi yakusogeza miguu!!!
wewe haujachanganyikiwa kwa maPM yangu?
 
mkuu huyu ni msanii tu, tena usanii wake ni bomu kuliko wa kanumba, yaani hii excuse hata milembe haipatikani, kama anaongea maneno hii mbele yangu lazima tung'oane meno japo mawili. khaaa!

:lol::lol::lol::lol:
 
hehehe halaf kila ukisoma hizi sredi za JF ndio unazidi kugundua kwamba hili taifa lina idadi kubwa ya wazembe kuliko tunavyofikiria. hivi michelle hajaludi loliondo?
Michelle hajarudi kutoka loliondo nasikia alivunja masharti yeye badala ya kunywa kikombe kimoja akanywa kidumu cha lita tano sasa dawa imemzidia mwilini
 
Michelle hajarudi kutoka loliondo nasikia alivunja masharti yeye badala ya kunywa kikombe kimoja akanywa kidumu cha lita tano sasa dawa imemzidia mwilini
dah! na baba mchungaji yuko keko, sjui nani atafanya maombi ya zarura
 
Michelle hajarudi kutoka loliondo nasikia alivunja masharti yeye badala ya kunywa kikombe kimoja akanywa kidumu cha lita tano sasa dawa imemzidia mwilini
Hahaha! TF na Kloro,Michelle yupo hapa nyumbani infakti anapika chai huku kavaa kanga moja,kama ana maradhi namtibu mwenyewe lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…