Gideon G Kadoleza
Member
- Oct 12, 2016
- 32
- 13
Wana tofauti gani na wanaume wa dar wengine hata kuchinja kuku wanaogopaUnakuta Lidada Limeshatoa Mimba Kama 5 iv Af Bila Aibu Linajida Linaogopa Mende
Akili Yangu Naijua Mwenyewe[emoji35]
afu kweli kabisa hata mm huaga yananiboa sana...hahahahahahahahaha, yaani limeshusha injini Mara kibao bila kuogopa afu linakuja kujifanya linaogopa mjusi
Hahaaa wengine eti wanaogopa adi stiki ya Julia chipsWana tofauti gani na wanaume wa dar wengine hata kuchinja kuku wanaogopa
Yaaani midem mingen full stressUnakuta lingine lina gongwa vichochoroni mi nikilifwata eti halitaki
Ha ha ha eti wanaume wa Dar,Wana tofauti gani na wanaume wa dar wengine hata kuchinja kuku wanaogopa
Ndo ivo Mkuu RGforever kuna midada inakeraNimecheka sanaaaa
Mbna unaguna kiongoziDuuuuu
Ukiona hivyo ujue roho yake imewaridhia hao jamaa.Unaweza kuwa na pesa nyingi na bado ukakataliwa.Mvuto nao ni muhimu.[emoji13] [emoji11] [emoji12] [emoji12]Unakuta lingine lina gongwa vichochoroni mi nikilifwata eti halitaki