Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Shirika la umeme Tanzania wakati mwingine mnalipa fidia kwa uzembe, au kusababisha hasara na majeruhi kwa kutofanya ukaguzi kwenye nguzo za umeme. Mfano tazama nguzo hiyo ilivyooza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kata ya msamala mtaa wa miembeni.
Unaweza kuipiga picha kwa upana ili ijulikane ipo miembeni sehemu gani?Kata ya msamala mtaa wa miembeni.