Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Jamani kuna ishu nimeipata, inasemekana yule mgombea urais aliyekua akituvutia wakati wa kampeni kutokana na kupiga push-ups baada ya kumchagua nasikia tumebadilishiwa ndio maana mnaona kama sio yeye, sio yeye kabisa
Situmii bangi mimi
Hata ukinichukia haina tatizo
Sikukutuma ukashinde kwenye foleni ya kupiga kura[emoji23] [emoji23]
Situmii bangi mimi
Hata ukinichukia haina tatizo
Sikukutuma ukashinde kwenye foleni ya kupiga kura[emoji23] [emoji23]