Hii inaweza kua kweli?

Hii inaweza kua kweli?

Good Father

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
10,321
Reaction score
18,574
Jamani kuna ishu nimeipata, inasemekana yule mgombea urais aliyekua akituvutia wakati wa kampeni kutokana na kupiga push-ups baada ya kumchagua nasikia tumebadilishiwa ndio maana mnaona kama sio yeye, sio yeye kabisa


Situmii bangi mimi

Hata ukinichukia haina tatizo
Sikukutuma ukashinde kwenye foleni ya kupiga kura[emoji23] [emoji23]
 
Tumebadilishiwa kweli.

Tumebadilishiwa gia angani.
 
Hatujabadilishiwa mkuu ni yule yule sema umesahau tu "maskin akipata
M
A
T
A
K
O
Hulia mbwata
 
Back
Top Bottom