Naona unawajua sana mheshimiwa!!!Kwa ninavyowajua Apple hawawezi kuweka simu ya line mbili unless watengeneze version mbili za iphone 7
Kampuni ya Apple huwa hawaangalii nani kafanya nini, wao wao huwa wanakifuata wanachoamini waoNaona unawajua sana mheshimiwa!!!
Sijui Mi Naona SE Iko Poa Kwa Sababu Mi Ni Shabiki Mkubwa Wa 5s Pengine,,,,,na Hata Specs Zake Sio Mbaya,,,,vile Vile Ni Cheaper Than Hyo 7 Kama Ingetoka Nadhan Ingekuwa Expensive Kuliko Galaxy S7 Edgembona SE uchwara tuuu c bora wangebaki na ila 6+
mbona SE uchwara tuuu c bora wangebaki na ila 6+
Sijui Mi Naona SE Iko Poa Kwa Sababu Mi Ni Shabiki Mkubwa Wa 5s Pengine,,,,,na Hata Specs Zake Sio Mbaya,,,,vile Vile Ni Cheaper Than Hyo 7 Kama Ingetoka Nadhan Ingekuwa Expensive Kuliko Galaxy S7 Edge