Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 430
- 61
mtu amesoma degree ya IT,then akafanikiwa kusoma na post graduate diploma ya business administration PGDBA,sasa anataka kusoma masters lakini kwenye field ya education,lengo lake ni kuja kuwa mwalimu,je ataruhusiwa wakati huku chini hajasoma kabisa mambo ya education?ufahamu wenu wadau