HII INJINI YA RAV 4 VVTI INAWEZA KUINGILIAMA NA ZILE ZA 3S?

HII INJINI YA RAV 4 VVTI INAWEZA KUINGILIAMA NA ZILE ZA 3S?

kindoki

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2018
Posts
213
Reaction score
218
Wadau, nimeona injini ya 3s ya Toyota rav4 vvti, ningependa kujua kama inaweza kuingiliana na zingine za kawaida kama 3s
2006_toyota_rav4_picture%20(10).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau, nimeona injini ya 3s ya Toyota rav4 vvti, ningependa kujua kama inaweza kuingiliana na zingine za kawaida kama 3sView attachment 1068408

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimpata fundi mzuri mwenye ujuzi utafanikiwa...
Ila kumbuka mfumo wa vvti na teknolojia mpya ambayo haipo kwenye 3s...hivyo utalazimika kubadili na ECU ili sensors za vvti zisome.

Ila mzee baba inaelekwa unalipenda sana gari lako la Rav 4 old model...

Ushauri wa bure inaonekana hapo ilipofikia hiyo gari itakupa stress za kufa mtu..
Nimepost link za badhi za Uzi ulizowahi kuandika kuomba ushauri wa masuala ya engine.

Kwa mimi leo nashauri kwa mara ya mwisho..
Tafuta pesa kiasi agiza gari hata ndogo then uza hiyo rav 4 pesa yake ukombolee hilo jipya bandarini..

Ni ushauri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimpata fundi mzuri mwenye ujuzi utafanikiwa...
Ila kumbuka mfumo wa vvti na teknolojia mpya ambayo haipo kwenye 3s...hivyo utalazimika kubadili na ECU ili sensors za vvti zisome.

Ila mzee baba inaelekwa unalipenda sana gari lako la Rav 4 old model...

Ushauri wa bure inaonekana hapo ilipofikia hiyo gari itakupa stress za kufa mtu..
Nimepost link za badhi za Uzi ulizowahi kuandika kuomba ushauri wa masuala ya engine.

Kwa mimi leo nashauri kwa mara ya mwisho..
Tafuta pesa kiasi agiza gari hata ndogo then uza hiyo rav 4 pesa yake ukombolee hilo jipya bandarini..

Ni ushauri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri mwanakwetu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimpata fundi mzuri mwenye ujuzi utafanikiwa...
Ila kumbuka mfumo wa vvti na teknolojia mpya ambayo haipo kwenye 3s...hivyo utalazimika kubadili na ECU ili sensors za vvti zisome.

Ila mzee baba inaelekwa unalipenda sana gari lako la Rav 4 old model...

Ushauri wa bure inaonekana hapo ilipofikia hiyo gari itakupa stress za kufa mtu..
Nimepost link za badhi za Uzi ulizowahi kuandika kuomba ushauri wa masuala ya engine.

Kwa mimi leo nashauri kwa mara ya mwisho..
Tafuta pesa kiasi agiza gari hata ndogo then uza hiyo rav 4 pesa yake ukombolee hilo jipya bandarini..

Ni ushauri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja. Ataingia gharama kubwa zaidi na stress juu, na gari halitakaa vizuri
 
Back
Top Bottom