Hii interview imenishangaza

Jitahidi uendane na speed/teknolojia ya mwajiri wako mpya kama utapata...

Mana haya mambo ya VTC ni kawaida kwa dunia ya sasa..
 


Dunia imebadilika sana na enzi za kusafiri masafa marefu kwa ajili ya interview yamepitwa na wakati.
Pale ukiona tangazo na wakataka lazima ufike physically basi tambua umeapply shirika very outdated.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…