Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
" Yanga wameshinda ligi mara tatu mfululizo na wapo pamoja kwa takribani misimu mitatu sasa tunawaheshimu na tunatambua ubora wao ... tumeandaa mchezo wetu kwa kuwaangalia na inatakiwa tuzingatie mipango yetu ili tuutawale mchezo kwasababu hata sisi ni timu kubwa "
" hii ni mechi muhimu katika ligi japo haiwezi kuamua bingwa kwasababu bado kuna mechi nyingi sana lakini tunajua umuhimu wa mechi hii na tutaweka sana umakini kwasababu wachezaji wengi ni wageni kwenye dabi "
- Fadlu Davids, Kocha Simba SC
#FutbalPlanetUpdates
Tofauti na interview ya derby iliyopita ambayo alijigamba sana
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
" hii ni mechi muhimu katika ligi japo haiwezi kuamua bingwa kwasababu bado kuna mechi nyingi sana lakini tunajua umuhimu wa mechi hii na tutaweka sana umakini kwasababu wachezaji wengi ni wageni kwenye dabi "
- Fadlu Davids, Kocha Simba SC
#FutbalPlanetUpdates
Tofauti na interview ya derby iliyopita ambayo alijigamba sana
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app