Aliuona mzikiAnajua mziki wao lazima awe mpole asee
Inadhamini makoloNimacho yangu ama?, hio jazi ina endorsement ya 'SANDA'.....hii ni kampuni gani...samahani, mimi si shabiki wa Yanga ama Simba!!!
Lkn cio Kwa Yanga hiiFootball psychology simba wana advantage kuliko yanga nadhani hata gamond kinachoendelea hapende football psychology contribute 80% of matchday results.
Ateba ni Kwaajili ya mechi za shirikishoInabidi mtu awe na kichwa kama cha mwendawazimu ili aweze kuamini kuwa uto kesho atachomoka mbele ya unyama mwingi! Hivi mnamjua ATEBA au mnamsikia tu?
,[emoji23][emoji23]"Maana hata sisi ni timu kubwa"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji867][emoji867][emoji867]