Wachezaji ambao walivuma katika vilabu vyao kisha Yanga ikawasajili kwa mbwembwe za 'kuipiga bao Simba':
Hussein Javu - ameachwa
Said Bahanuzi - ameachwa
Dan Mrwanda - ameachwa
Hassan Dilunga - anatolewa mkopo
Shaban Kondo - ameachwa
Simba imekuwa ikiichezea akili Yanga kwa kujidai inamtaka mchezaji fulani, Yanga nayo inatoka nduki na milioni zao 40 plus mshahara wa milioni mbili, na kumsainisha haraka haraka kisha kupiga naye picha na kusema 'imeipiga bao Simba'. Kwa ufupi Yanga ina hela 'za kuchezea' ndio maana kutoa milioni 40 kwao ni rahisi tu. Ila nina wasiwasi mfadhili akikata mrija sijui h
iyo mishahara minono itatoka wap
Kama ni kweli wamemtema Javu, Simba msajilini haraka Yanga hawakumpa muda, ni mzuri
Wachezaji ambao walivuma katika vilabu vyao kisha Yanga ikawasajili kwa mbwembwe za 'kuipiga bao Simba':
Hussein Javu - ameachwa
Said Bahanuzi - ameachwa
Dan Mrwanda - ameachwa
Hassan Dilunga - anatolewa mkopo
Shaban Kondo - ameachwa
Simba imekuwa ikiichezea akili Yanga kwa kujidai inamtaka mchezaji fulani, Yanga nayo inatoka nduki na milioni zao 40 plus mshahara wa milioni mbili, na kumsainisha haraka haraka kisha kupiga naye picha na kusema 'imeipiga bao Simba'. Kwa ufupi Yanga ina hela 'za kuchezea' ndio maana kutoa milioni 40 kwao ni rahisi tu. Ila nina wasiwasi mfadhili akikata mrija sijui hiyo mishahara minono itatoka wapi!
Wachezaji ambao walivuma katika vilabu vyao kisha Yanga ikawasajili kwa mbwembwe za 'kuipiga bao Simba':
Hussein Javu - ameachwa
Said Bahanuzi - ameachwa
Dan Mrwanda - ameachwa
Hassan Dilunga - anatolewa mkopo
Shaban Kondo - ameachwa
Simba imekuwa ikiichezea akili Yanga kwa kujidai inamtaka mchezaji fulani, Yanga nayo inatoka nduki na milioni zao 40 plus mshahara wa milioni mbili, na kumsainisha haraka haraka kisha kupiga naye picha na kusema 'imeipiga bao Simba'. Kwa ufupi Yanga ina hela 'za kuchezea' ndio maana kutoa milioni 40 kwao ni rahisi tu. Ila nina wasiwasi mfadhili akikata mrija sijui hiyo mishahara minono itatoka wapi!
Hiyo ya kuchezewa akili na watani kama ina kaukweli fulani maana nikiaangalia haraka haraka usajili ambao umeshafanyika jangwani mpaka sasa hivi haihitaji kuwa mtaalamu sana wa mpira kuona tatizo. Au ndio maana wamekimbila tff kuomba wachezaji wa kigeni waongezwe wafike 8.
huko kuchezewa akili na mtani kumeifanya simba kufanya kipi cha maana katika soka la hapa bongo? Mbona sasa ni msimu wa tatu tunaelekea wa nne no ubingwa no nafasi ya pili no mashindano ya caf mmebaki kukodoa macho kwenye kideo tu...wako wapi wa akina daniel akufo Dan serukuma simon serukuma, na wengine mnaowajua wenyewe,,,
Makendaa una akili sana wewe.Wangekuwa wanaichezea Yanga halaf wanashika hata nafac ya pili wange tushtua lakini kama wana ichezea halaf wakijitahid sana nafas ya tatu huku yanga wakichukua ubingwa nadhani kwa hali hii ni unaweka mtego halaf mtego unakunasa mwenyewe mtegaji na ndo maana Rage aliwaita lile jina.......
Wangekuwa wanaichezea Yanga halaf wanashika hata nafac ya pili wange tushtua lakini kama wana ichezea halaf wakijitahid sana nafas ya tatu huku yanga wakichukua ubingwa nadhani kwa hali hii ni unaweka mtego halaf mtego unakunasa mwenyewe mtegaji na ndo maana Rage aliwaita lile jina.......
Hivi huna taarifa kwamba Plujim amependekeza Yondani aachwe? Sijamtaja kwa kuwa bado viongozi wanavutana. Mbuyu Twite naye ameambiwa amezeeka, amepewa mwaka mmoja kwa hela ya usajili ambayo hata wachezaji wa ndani wanaikataa!Mbona unawataja nusu nusu Umewasahau
Kelvin Yondani
Mbuyu Twite
Hivi wachezaji ambao timu yao ikijitahidi sana inaishia raundi ya kwanza, nao ni wa kimataifa? Kucheza Comoro na Botswana nako ni kuwa kimataifa?Tunajua sasahivi simba iko gonjwa gonjwa hakuna pesa ya kusajili wachezaji wa kiwango cha kimataifa. ..
Hivi wachezaji ambao timu yao ikijitahidi sana inaishia raundi ya kwanza, nao ni wa kimataifa? Kucheza Comoro na Botswana nako ni kuwa kimataifa?