[emoji1] [emoji1] [emoji1] huyu kaitumia kifuani kitu kimesimama utasema yamepachikwa hapoZamani askari polisi walikuwa wakubwa kwa maumbo sasa kuna kitu iliitwa tanganyika jeki hiyo lazima utembelee vidole nadhani atakuwa kaitumia hiyo.
Unafikiri uwongo!Weeeee unaniumiza sitaki acha acha bwanaaaaa haaaaaa
Mkuu tupo mihangaiko sasa....!!!mr short message umepotea huonekani sana sikuhizi.au mtumishi hewa nn??
Ndio hivyo....!!!hahaha mkuu huku sasa ni kutiana genye
mkuu hiyo inaitwa ku`boost..Hii "Jeki" iliyopigwa na Kajala ni babu kubwaaaa....Hii ilipigwa siku ya uzinduzi wa filamu yake mpya.
Hakika wadada wa Dsm mambo yao ni motomotoooooooo.....Hivi hii kitu ya kubenjua hizi nyonyo kama beringi ya taili la mkokoteni ina maana gani?Kweli Dsm ina wenyewe!!View attachment 367225
kidudu cha kuinua magari,yeye kainulia matitijeki ni nini? wengine washamba
Mtani Mtani mhmmmYamevia hayo kabanga
Mtanganyika hiyo.kwanza ukiangalia kwa umakini sana yamepishana hayo maziwa.kwanini yamepisha kwakua yameshikiliwa nakitu pia yapo rojorojo sana mimi ni mtaalamu wakuchunguza matiti sana .mkiniitaji nipo ndugu zanguHii si mchina hii Mrusi au Mjapani.
Musijali mutaolewa tuu mpaka mutashangaaKumbe wabaya tusikate tamaa, tutaolewa tu! !!