Hii 'Jeki' ya Kajala ni babu kubwa

Morogoro usithubutu kufanya huo mchezo wako.
Hata kwa mtu wako ? Wale wa kule Kambarage, hawafai tangu saa 6 usiku utakuja shtuka saa 8 mchana baada ya kupigwa drip kibao.
 
Jeki ya mat.ako hujaona... wee.. yanasimama kuelekea juu, hadi utasema nn hii, na ma sponge kibao kuongeza makalio, ngoja avue nguo, utataka kukimbia... fake kila kitu, hahaaa...!!
 
tuacheni masihara hili goma lipo njema, kweli P Funk alifaidii aiseee
 
Mtanganyika hiyo.kwanza ukiangalia kwa umakini sana yamepishana hayo maziwa.kwanini yamepisha kwakua yameshikiliwa nakitu pia yapo rojorojo sana mimi ni mtaalamu wakuchunguza matiti sana .mkiniitaji nipo ndugu zangu
Mkuu hata mm nimeona hilo nipo zimepishana ukiona hivyo ni malapa pure alaf lain sana
 
Atakuwa mawindoni anawatega vijana wadogo wadogo ndio zao Bongo Movie kila kitu full usanii.
 
Huwa wanayabana na tapes za kufungia mizigo, kuna mmoja huko bongo nilimuokota pale east24, alijisahau kufika kunako naona anaanza kubabaika, mara chooni mara avue pichu , lakini top havui, ukimshika kwenye nyunyu nasikia kelele za plastics nikajua labda ndio bra mpya za siku hizi, akaenda bafuni katoka , nilivyoingia nikayakuta kibao kwenye dust bean, halafu mwenyewe ana lapa hill kifuani.
 

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…