Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
naomba mnisaidie ufafanuzi nimeshindwa kuelewa mchezaji wetu kulimwa kadi dk ya 98 ilhali dk ziliongezwa 7,nisaidien wandugu sheria zinasemaje?
Uamuzi wa refarii ni wa mwisho.
Pamoja na kwamba dakika 7 zilikuwa zimekwisha mwamuzi alikuwa hajapuliza kipenga cha mwisho hivyo mchezo ulikuwa bado unaendelea.
Zingatia kuwa kila mechi ya Watani ni LAZIMA angalau mchezaji mmoja wa Yanga apewe red card ili mwamuzi awafurahishe hao waliompa chochote.
Kwa sheria za sasa hovi unaweza kupewa kadi hata baada ya refa kupuliza filimbi ya mwisho ka a tu hajatoka uwanjani na ndio maana refa juwa wa mwisho kutoka na nakumbuka hii iliwahi kumkuta mchezaji mmoja wapo wa simbanaomba mnisaidie ufafanuzi nimeshindwa kuelewa mchezaji wetu kulimwa kadi dk ya 98 ilhali dk ziliongezwa 7,nisaidien wandugu sheria zinasemaje?
simba hatujagundua lakini beki zetu zinacheza mpira wa ktoto kitoto hivi mwenye akili pale ni shabalala turefa ni zombi yule mda tu ameharibu game mana yule juuko cjui(jina ka mganga) red ilikua inamuhusu mara kila mda anamchezea ovyo international player ngoma
Refa ni zombi yule mda tu ameharibu game mana yule juuko cjui(jina ka mganga) red ilikua inamuhusu mara kila mda anamchezea ovyo international player Ngoma
simba hatujagundua lakini beki zetu zinacheza mpira wa ktoto kitoto hivi mwenye akili pale ni shabalala tu
ila poa tumecheza 9 na tukampakata mtu
naomba mnisaidie ufafanuzi nimeshindwa kuelewa mchezaji wetu kulimwa kadi dk ya 98 ilhali dk ziliongezwa 7,nisaidien wandugu sheria zinasemaje?
Mkuu ubongo wako ndio umeishia hapo kuwaza? Unafikiri lingefungwa goli na timu yoyote Kati yao ulitaka likataliwe
Kwa sheria za sasa hovi unaweza kupewa kadi hata baada ya refa kupuliza filimbi ya mwisho ka a tu hajatoka uwanjani na ndio maana refa juwa wa mwisho kutoka na nakumbuka hii iliwahi kumkuta mchezaji mmoja wapo wa simba
kumbuka dakika za nyongeza ni sehemu yamchezo na huenda kwa tafakuri yao tuseme
GOLI LIKIFUNGWA DAKIKA YA NYONGEZA SIO GOLI
Mkuu wakati dakika 90 zinakamilika, kipa wa Yanga alikuwa chini na alitumia muda wa kama dakika mbili au zaidi kunyanyuka na ndipo mchezo ulipoendelea, inawezekana wakati Ally yuko chini mwamuzi alisimamisha saa yake maana dakika 90 zilikuwa zimeshakamilika na wakati huo display kwenye TV ya Azam ilikuwa inaendelea; kwa hiyo dakika 97 kwenye display ya Azam inawezekana isiwe sawa na dakika 97 za mwamuzi. Kitu kama hicho kilishawahi kutokea kwenye mechi ya Simba na Kagera; ziliongezwa dakika mbili lakini Kagera Sugar walipata penati dakika ya 93 na kusawazisha.Hoja ya msingi Mkuu ni kuwa dakika 7 za nyongeza ziliisha, jamaa kapewa kadi nyekundu dakika ya 99, endapo refa angemaliza mpira dakika ya 97 yote hayo yasingetokea. Kumbuka dakika za nyongeza hazina nyongeza.
Mkuu wakati dakika 90 zinakamilika, kipa wa Yanga alikuwa chini na alitumia muda wa kama dakika mbili au zaidi kunyanyuka na ndipo mchezo ulipoendelea, inawezekana wakati Ally yuko chini mwamuzi alisimamisha saa yake maana dakika 90 zilikuwa zimeshakamilika na wakati huo display kwenye TV ya Azam ilikuwa inaendelea; kwa hiyo dakika 97 kwenye display ya Azam inawezekana isiwe sawa na dakika 97 za mwamuzi. Kitu kama hicho kilishawahi kutokea kwenye mechi ya Simba na Kagera; ziliongezwa dakika mbili lakini Kagera Sugar walipata penati dakika ya 93 na kusawazisha.
na kama zingekuwa na nyongeza nahisi kuna marefa wangechezesha hata siku mbilihoja ya msingi mkuu ni kuwa dakika 7 za nyongeza ziliisha, jamaa kapewa kadi nyekundu dakika ya 99, endapo refa angemaliza mpira dakika ya 97 yote hayo yasingetokea. kumbuka dakika za nyongeza hazina nyongeza.
Asante Mkuu Masuke kwa maelezo ya kina yanayojitosheleza. Barthez ni kipa mzuri, tatizo lake ni upotezaji wa muda, kwa hilo simfagilii kabisa.
naam, mjadala ni mzuri guyz