furaha2008
Member
- May 31, 2012
- 24
- 0
Hi wanajamvi. Nimepata taarifa jana zilizonickitish kweli na kuamua ku2pia kwa wana jamvi ili 2jadili elimu yetu inaelekea wapi. Nipo kijiji kimoja mkoani mtwara kwa ajiri ya kuwaletea maji wana kijiji hawa. Lakini baada ya kufika shule 1 2kakutana na makamu mwl wa shule iyo ya msingi na yafuatayo ndo maelezo yake aliyo2pa: shule ina vyumba 6, walimu 4 plus mwalimu mkuu, bt mazingira ya kufundishia ni magumu sana, kwan mwl 1 anawakusnya watoto wa madarasa kama 4 yani la 3,4,6,7 ndani ya chumba 1 huku anawafundisha wote at the same time kwani anakwambia wakati akiwa darasan anapiga mistari 4 kulingana na darasa na kuanza kufundisha la saba anawapa hesabu zao halikadharika mpaka darasa la 3 yaani kama ni hesabu mf kujumlisha mamoja mpaka makumi darasa la 3, makumi mpaka mamia darasa la 4, mamia mpaka maelfu darasa la 5, maelfu mpaka malaki darasa la 6, katika chumba 1. Ivi kwa hali hii elimu itakua? Kazi kwenu wadau!!!!!