Hii kali

cheusimangala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
2,585
Reaction score
498
cheka kidogo basi uanze week-end yako kwa furaha na uongeze siku za kuishi.


 
Shukrani, hizo kanga za chama gani?
 
hahahahah,,,i wish nimwazime hiyo pochi nitoke nayo wk end
 
Huyo mama nadhani hana mtoto wa kike, kwa hiyo amechanganyikiwa kwa hamu au hana mtoto kabisa...LOL:blabla::blabla:
 
Halafu na hizo specs machoni kama mmama m2 mzima hivi anasoma akiwa amezisha karibu na pua, teh! Pipo mna mambo! So sm1 tuk hz/ha tym akaanza mvalisha kimoja baada ya kingine mpaka kiumbe katoka chicha, teh
 
Halafu na hizo specs machoni kama mmama m2 mzima hivi anasoma akiwa amezishusha karibu na pua, teh! Pipo mna mambo! So sm1 tuk hz/ha tym akaanza mvalisha kimoja baada ya kingine mpaka kiumbe katoka chicha, teh
 
Kapendeza sana ukant blv du kama wale wa mama wakwenye majukwaa wakiwa wanatetea gender balance!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…