Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Iko pale ufipa. Nenda kaiangalie.
😂 😂 😂 😂 😂
Wewe yenu leta tuone. Pengine mnafungia watu kwenye zizi la mbuzi.Eti oh sisi wakenya tumeendelea sijui nini, nyie wabongo ni ldc bla bla bla. Kumbe mambo yenyewe ndio yako hivi?
Sie wakwetu tumewapa hostel za udsm kama unazifahamu.Wewe yenu leta tuone. Pengine mnafungia watu kwenye zizi la mbuzi.
Mbwa wako wagani na wewe unaosha choo ili uweke chakula mezani?Hawa jamaa sasa ukiwakuta wanajisifia Kenya yao utashangaa. Poleni hapo hata mbwa wangu hawakai.
Nimekuambia iko pale ufipa, mbona maswali mengi sasa?
Aah kumbe!Mbwa wako wagani na wewe unaosha choo ili uweke chakula mezani?
uzi wa mwehu umedodaNimekuambia iko pale ufipa, mbona maswali mengi sasa?
Wewe mwehu kwa nini unarandaranda kwenye huu uzi?