Wanaogelea kwenye maziwa sio eeh!Dah, kwa hali ngumu tunayopitia halafu viongozi wetu na watoto wao wanasaza!!! Hawajali!!! Ebu mwangalie huyo mtoto!!! Inatia hasira sana!!!
View attachment 2322152
Nb: Wavuja jasho wenyewe wamekalia simba na yanga na connections plus tunda kimasihara!!!!
Ni wakati gani katika nchi hii viongozi Serikali na Chama tawala wamewahi kuishi maisha ya wananchi Wa Nangurukuru au kijijini matombo kule Morogoro?? Wacha kudanganya kwamba mambo yamekuwa magumu this time. Tarzana wenzetu Wakenya kila Leo wanaboresha ustawi Wa nchi yaokupitia Sia tulivu na wazi.Dah, kwa hali ngumu tunayopitia halafu viongozi wetu na watoto wao wanasaza!!! Hawajali!!! Ebu mwangalie huyo mtoto!!! Inatia hasira sana!!!
View attachment 2322152
Nb: Wavuja jasho wenyewe wamekalia simba na yanga na connections plus tunda kimasihara!!!!
Mleta mada ulikuwa na hoja lkn kuinasibisha picha hiyo na hali ngumu ya Sasa siyo kweli.Dah, kwa hali ngumu tunayopitia halafu viongozi wetu na watoto wao wanasaza!!! Hawajali!!! Ebu mwangalie huyo mtoto!!! Inatia hasira sana!!!
Dah, kwa hali ngumu tunayopitia halafu viongozi wetu na watoto wao wanasaza!!! Hawajali!!! Ebu mwangalie huyo mtoto!!! Inatia hasira sana!!!
View attachment 2322152
Nb: Wavuja jasho wenyewe wamekalia simba na yanga na connections plus tunda kimasihara!!!!
Diamond na Ali KibaDah, kwa hali ngumu tunayopitia halafu viongozi wetu na watoto wao wanasaza!!! Hawajali!!! Ebu mwangalie huyo mtoto!!! Inatia hasira sana!!!
View attachment 2322152
Nb: Wavuja jasho wenyewe wamekalia simba na yanga na connections plus tunda kimasihara!!!!
Hii nchi bwana hata viongozi wameshatuchoka. Ukipata upenyo na wewe piga tu. Na wakitaka kukupiga vibomu zima simu tu au badilisha laini.Dah, kwa hali ngumu (katika awamu zote za uongozi tangu uhuru) tunayopitia halafu viongozi wetu na watoto wao wanasaza!!! Hawajali!!! Ebu mwangalie huyo mtoto!!! Inatia hasira sana!!!
View attachment 2322152
Nb: Wavuja jasho wenyewe wamekalia simba na yanga na connections plus tunda kimasihara!!!!
Akina Stroke na Eltwege wanyonge wanakuja🤣🤣Wapo wanakutazama tu subiri Reaction yao
Ni kweli hii katuni inafikirisha sana maana haioneshi uhusiano kati ya wavuja jasho, sufuria la maziwa na viongozi wanao ogeleamo na watoto waoDah, kwa hali ngumu (katika awamu zote za uongozi tangu uhuru) tunayopitia halafu viongozi wetu na watoto wao wanasaza!!! Hawajali!!! Ebu mwangalie huyo mtoto!!! Inatia hasira sana!!!
View attachment 2322152
Nb: Wavuja jasho wenyewe wamekalia simba na yanga na connections plus tunda kimasihara!!!!