Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
An absurd reply from JF Great Thnker😎Chadema na Benard Membe watakwambia hamna mauaji yanayoendelea sasa hivi nchini
Si tulikubaliana kuwa mauaji yalikuwa yakitekelezwa na mwendazake?
mama anawachamba tu watu wa ngorongoro hawezi kuwaua.
MwendazakeSi tulikubaliana kuwa mauaji yalikuwa yakitekelezwa na mwendazake?
Ongeza nyama kidogo mkuu, naona kama naelekea kuielewa hiyo drowingi kupitia wewe.....Mtu yupo safari...ameruhusu damu imwagike nyuma
Maelezo yako yana maana kwa kihasiKwa maoni yangu, Tafsiri rahisi:
Damu iliyovuja (kuna mauaji, utesaji unaendelea kimya kimya)
Buti tupu (Nguvu ya dola isiyojulikana/iliyojificha inatumika)
Kapeti (mambo yanafichwa na kufunikwa)
Mlango uliofungwa(Hakuna anayeruhusiwa kuingia/kuona ndani au kutoka/kuona nje)
Hapo umetoa tafsiri sahihi kabisa👏Kwa maoni yangu, Tafsiri rahisi:
Damu iliyovuja (kuna mauaji, utesaji unaendelea kimya kimya)
Buti tupu (Nguvu ya dola isiyojulikana/iliyojificha inatumika)
Kapeti (mambo yanafichwa na kufunikwa)
Mlango uliofungwa(Hakuna anayeruhusiwa kuingia/kuona ndani au kutoka/kuona nje)
Kwa hiyo hiyo damu inamaanisha nini tofauti na mauaji au manyanyaso? Kuwa mwerevu.Nani analiyesema hiyo katuni inamaanisha mauaji?
Wewe ukiona damu tu unahisi mauaji
Kwani damu huwa inatokea bombani?Nani analiyesema hiyo katuni inamaanisha mauaji?
Wewe ukiona damu tu unahisi mauaji