Hii kauli mbiu 'war in Dar' tuikemee

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Wakuu, maneno huumba. Hivi karibuni pana hii kauli mbiu ya kuufanya mchezo wa soka ni vita.

Soka ni soka tu na vita ni vita tu sasa hawa wanaotupeleka kwenye vita badala ya soka wana lao jambo.

Nchi zilizopigana vita raia wao hawataki kulisikia neno hili, Sisi tunalitumia kama njugu.

Nimesoma kuwa msemaji wa serikali kakemea maafisa wa habari kusema porojo badala ya kufuata taaluma ya habari. Wito wangu na hili alikemee pia.
 
Utopolo kama utopolo
Inasikitisha mno. Mie simaanishi michezo hapa kwani si pahala pake. Mie nimetahadharisha neno vita kulitumia wakati nchi yetu ni ya amani si jambo jema.
 
Vile vile slogan kama 'daima mbele mwiko nyuma' sio nzuri kuna mwingine atasema 'liwalo na liwe panga shingoni'
 
Huyu Abbas+mwandishi aliyeuliza swal wote gongowazi watiifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…